ACT - WAZALENDO kuanza ziara nje ya nchi ili kuihami demokrasia ya Tanzania

Sisi Watanzania Tuko tayari kushirikiana na mtu yeyote atayesaidia kung'oa ccm madarakani
 
Sisi Watanzanua Tuko tayari kushirikiana na mtu yeyote atayesaidia kung'oa ccm madarakani
Sema wewe 'Mtanzanua' sio kuwasemea Watanzania ! Na mtasubiri mpaka kiama!😎 Zitto anaenda kutafuta hela we bidada !!!
 
Pumbavu zao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
monde arabe pole sana ndugu lakini kwa umri wa Mh Rais anaweza kunizaa tu mbona! Yote kwa yote awe kanizaa au hajanizaa lakini sijaona cha kunifanya nisimpe kura yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…