Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Nimepata taarifa za ndani kabisa kuwa Chama cha ACT Wazalendo ambacho mmoja wa waasisi wake ni kibaraka namba moja wa Chama cha Mapinduzi, wanampango wa kuwashawishi CHADEMA Wasigombee kwenye chaguzi zijazo kutokana na matamko ya viongozi wa CCM kuhusu chaguzi zilizopita.
Hivi karibuni aliyekuwa waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akiwa Bukoba Mkoani Kagera alitoa kauli tata ambayo wengi wanaamini ndio iliyopelekea akatumbuliwa uwaziri. Na wiki iliyopita aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido yeye aliongea mazito kabisa na wote waliweka wazi au walitanabaisha yanaaminika huenda yanafanyika wakati wa uchaguzi.
Sasa Chama hicho kupitia kwa kiongozi wake mmoja wa juu wanataka kushawishi CHADEMA eti wasusie uchaguzi kama plan B maana Plan A ya kutaka Tamisemi ijiondoe kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa wanahisi kuna dalili kesi iliyopo mahakamani ni kama itapigwa chini.
Wito wangu kwa CHADEMA, Msiingie MKENGE. Hawa jamaa hawaeleweki. Mnaweza kusema msiingie kwenye uchaguzi huku wao wakiingiza timu. Msisahau yaliyowakuta 2020. Kiongozi wao alienda mpaka Ufipa kuema wataandamana nchi nzima kupinga Uchaguzi jioni yake akaonekana na SUTI MPYA ikulu ya Zanzibar akisubiri Maalim Seif aapishwe kwenye umoja wa kitaifa.
Soma Pia: ACT Wazalendo na CHADEMA kukutana kujadili hali ya Siasa nchini
Ina maana alienda ufipa akiwa ameshanunua SUTI ya uapisho na tiketi ya boat/ndege alikuwa nayo mfukoni na hivyo maneno yote yale eti wataandamana sijui hapatatawalika zilikuwa hadaa za kuwaingiza mkenge kina MBOWE. Na Mwamba akaingia mkenge kweli kwa kuwaita chama makini kumbe mchana wapinzani usiku chama tawala.
Nimeshawaonya! hauri zenu
Hivi karibuni aliyekuwa waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akiwa Bukoba Mkoani Kagera alitoa kauli tata ambayo wengi wanaamini ndio iliyopelekea akatumbuliwa uwaziri. Na wiki iliyopita aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido yeye aliongea mazito kabisa na wote waliweka wazi au walitanabaisha yanaaminika huenda yanafanyika wakati wa uchaguzi.
Sasa Chama hicho kupitia kwa kiongozi wake mmoja wa juu wanataka kushawishi CHADEMA eti wasusie uchaguzi kama plan B maana Plan A ya kutaka Tamisemi ijiondoe kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa wanahisi kuna dalili kesi iliyopo mahakamani ni kama itapigwa chini.
Wito wangu kwa CHADEMA, Msiingie MKENGE. Hawa jamaa hawaeleweki. Mnaweza kusema msiingie kwenye uchaguzi huku wao wakiingiza timu. Msisahau yaliyowakuta 2020. Kiongozi wao alienda mpaka Ufipa kuema wataandamana nchi nzima kupinga Uchaguzi jioni yake akaonekana na SUTI MPYA ikulu ya Zanzibar akisubiri Maalim Seif aapishwe kwenye umoja wa kitaifa.
Soma Pia: ACT Wazalendo na CHADEMA kukutana kujadili hali ya Siasa nchini
Ina maana alienda ufipa akiwa ameshanunua SUTI ya uapisho na tiketi ya boat/ndege alikuwa nayo mfukoni na hivyo maneno yote yale eti wataandamana sijui hapatatawalika zilikuwa hadaa za kuwaingiza mkenge kina MBOWE. Na Mwamba akaingia mkenge kweli kwa kuwaita chama makini kumbe mchana wapinzani usiku chama tawala.
Nimeshawaonya! hauri zenu