Pre GE2025 ACT Wazalendo kuiingiza tena mkenge CHADEMA katika chaguzi 2024 na 2025?

Pre GE2025 ACT Wazalendo kuiingiza tena mkenge CHADEMA katika chaguzi 2024 na 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimepata taarifa za ndani kabisa kuwa Chama cha ACT Wazalendo ambacho mmoja wa waasisi wake ni kibaraka namba moja wa Chama cha Mapinduzi, wanampango wa kuwashawishi CHADEMA Wasigombee kwenye chaguzi zijazo kutokana na matamko ya viongozi wa CCM kuhusu chaguzi zilizopita.

Hivi karibuni aliyekuwa waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akiwa Bukoba Mkoani Kagera alitoa kauli tata ambayo wengi wanaamini ndio iliyopelekea akatumbuliwa uwaziri. Na wiki iliyopita aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido yeye aliongea mazito kabisa na wote waliweka wazi au walitanabaisha yanaaminika huenda yanafanyika wakati wa uchaguzi.

Sasa Chama hicho kupitia kwa kiongozi wake mmoja wa juu wanataka kushawishi CHADEMA eti wasusie uchaguzi kama plan B maana Plan A ya kutaka Tamisemi ijiondoe kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa wanahisi kuna dalili kesi iliyopo mahakamani ni kama itapigwa chini.

Wito wangu kwa CHADEMA, Msiingie MKENGE. Hawa jamaa hawaeleweki. Mnaweza kusema msiingie kwenye uchaguzi huku wao wakiingiza timu. Msisahau yaliyowakuta 2020. Kiongozi wao alienda mpaka Ufipa kuema wataandamana nchi nzima kupinga Uchaguzi jioni yake akaonekana na SUTI MPYA ikulu ya Zanzibar akisubiri Maalim Seif aapishwe kwenye umoja wa kitaifa.

Soma Pia: ACT Wazalendo na CHADEMA kukutana kujadili hali ya Siasa nchini

Ina maana alienda ufipa akiwa ameshanunua SUTI ya uapisho na tiketi ya boat/ndege alikuwa nayo mfukoni na hivyo maneno yote yale eti wataandamana sijui hapatatawalika zilikuwa hadaa za kuwaingiza mkenge kina MBOWE. Na Mwamba akaingia mkenge kweli kwa kuwaita chama makini kumbe mchana wapinzani usiku chama tawala.

Nimeshawaonya! hauri zenu
Once a traitor always a traitor...unapotea njia wakati wa kwenda sio wa kurudi
 
Nimepata taarifa za ndani kabisa kuwa Chama cha ACT Wazalendo ambacho mmoja wa waasisi wake ni kibaraka namba moja wa Chama cha Mapinduzi, wanampango wa kuwashawishi CHADEMA Wasigombee kwenye chaguzi zijazo kutokana na matamko ya viongozi wa CCM kuhusu chaguzi zilizopita.

Hivi karibuni aliyekuwa waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akiwa Bukoba Mkoani Kagera alitoa kauli tata ambayo wengi wanaamini ndio iliyopelekea akatumbuliwa uwaziri. Na wiki iliyopita aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido yeye aliongea mazito kabisa na wote waliweka wazi au walitanabaisha yanaaminika huenda yanafanyika wakati wa uchaguzi.

Sasa Chama hicho kupitia kwa kiongozi wake mmoja wa juu wanataka kushawishi CHADEMA eti wasusie uchaguzi kama plan B maana Plan A ya kutaka Tamisemi ijiondoe kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa wanahisi kuna dalili kesi iliyopo mahakamani ni kama itapigwa chini.

Wito wangu kwa CHADEMA, Msiingie MKENGE. Hawa jamaa hawaeleweki. Mnaweza kusema msiingie kwenye uchaguzi huku wao wakiingiza timu. Msisahau yaliyowakuta 2020. Kiongozi wao alienda mpaka Ufipa kuema wataandamana nchi nzima kupinga Uchaguzi jioni yake akaonekana na SUTI MPYA ikulu ya Zanzibar akisubiri Maalim Seif aapishwe kwenye umoja wa kitaifa.

Soma Pia: ACT Wazalendo na CHADEMA kukutana kujadili hali ya Siasa nchini

Ina maana alienda ufipa akiwa ameshanunua SUTI ya uapisho na tiketi ya boat/ndege alikuwa nayo mfukoni na hivyo maneno yote yale eti wataandamana sijui hapatatawalika zilikuwa hadaa za kuwaingiza mkenge kina MBOWE. Na Mwamba akaingia mkenge kweli kwa kuwaita chama makini kumbe mchana wapinzani usiku chama tawala.

Nimeshawaonya! hauri zenu
Once a traitor always a traitor...unapotea njia wakati wa kwenda sio wa kurudi
 
😆 Kwanza silazimishi mtu, hayo ni maoni yangu kila ninapotathmini mwenendo wa siasa za nchi hii. Kwa mtazamo wako unaona kuna dalili za kufanikisha lolote ndani ya hiyo miaka miwili? ....
Huoni kuwa kuna ucheleweshaji wa makusudi unaofanywa na wenye mamlaka ili hali iendelee kama ilivyo?

Mimi nadhani na kuamini kuwa utawala uliopo utusaidie kuvuka kipindi hiki cha mpito bila kukimbilia kufanya uchaguzi ambao baadhi ya watu wanadhani wameisha shinda hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufanyika.

Ili kuvunja huu utaratibu wa hovyo kiutawala, tujipe muda wa kutosha Ili tutoke na kitu kinachoungwa mkono na wengi bila manung'uniko.

Tangu huyu mama alipoingia madarakani angekuwa na nia njema 2024/25 uchaguzi mkuu ungefanyika chini ya katiba mpya.

Sembuse 2026 au 27?

Siyo kuwa nia yake ni kulazimisha liwalo liwe ila yeye ni hadi 2030?
 
Tangu huyu mama alipoingia madarakani angekuwa na nia njema 2024/25 uchaguzi mkuu ungefanyika chini ya katiba mpya.

Sembuse 2026 au 27?

Siyo kuwa nia yake ni kulazimisha liwalo liwe ila yeye ni hadi 2030?
Ndio maana mimi nikashauri, uchaguzi usogezwe ili iwe kampeni ya kuandika katiba mpya, kufanya referendum na kutegemea sera za taifa.
 
Ndio maana mimi nikashauri, uchaguzi usogezwe ili iwe kampeni ya kuandika katiba mpya, kufanya referendum na kutegemea sera za taifa.

Unaona je basi usogezwe Hadi 2025/26 ufanyike chini ya katiba mpya?
 
Unaona je basi usogezwe Hadi 2025/26 ufanyike chini ya katiba mpya?
Tatizo ni kuwa wanachelewesha makusudi na once akiisha chaguliwa mtu kuwa Rais ndio humwambii kitu. Nafikiri muda mzuri wa kuwabana ni sasa kabla ya uchaguzi.
 
Nyingine ni kuungana na kuweka mgombea mmoja CHADEMA msikubali kabisa mwami ni kibaraka ilitakiwa waungane tangu 2019/20.Mwami mjanja sana
Mbowe anamjua sana Mstaafu, amefanya naye kazi ndani ya chama na nje ya Chama. Sijui kwa nini huwa anakubali kulaghaiwa na huyu tapeli
 
Back
Top Bottom