Uchaguzi 2020 ACT Wazalendo: Mgombea Ubunge wetu jimbo la Ruangwa avamiwa na kutekwa akiwa nyumbani kwake. Apatikana akiwa ametupwa porini Mkuranga

Haya sasa;

Nimeipata hii huko mtandaoni


Huyu maelezo yake hayajanyooka, yanajichanganya sana.

Pia tukio la utekaji limemkuta pia mgombea wa ACT siyo kiongozi wa CHADEMA tu huko Ruangwa.

Mgombea wa ACT kapigwa, kaumizwa kwelikweli!

Inaonyesha kuna uhuni unafanywa huko Ruangwa ili waziri mkuu apite bila kupingwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…