LGE2024 ACT-Wazalendo na CHADEMA washindwa kuweka mawakala kwenye daftari la mkazi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mtaa

LGE2024 ACT-Wazalendo na CHADEMA washindwa kuweka mawakala kwenye daftari la mkazi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mtaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Baada ya kuzunguka na pitapita zangu nimegundua CCM licha ya kutumia dola kushinda lakini kuna maeneo wanashinda kwa udhaifu wa vyama vya upinzani alafu mwisho wa siku wanatupa lawama kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Mambo ambayo wapinzani wameanza kufeli kama yafuatayo.

(1) Asilimia 70 vyama vya upinzani havina uhakika wa kuweka mawakala katika uandikishaji wa daftari la wapiga kura kutokana na kukosa fedha kwa viongozi wa majimbo na mikoa mfano ACT-WAZALENDO inasema mawakala wajitolee kwenda kufanya kazi kwakua chama hakina bajeti ya kulipa.

(2) Wagombea waliowengi hawataki kugombea hasa ACT-WAZALENDO, kutokana na kuwanyima fedha viongozi wa majimbo ambao wangefanya kazi ya kupita kuzunguka.

(3) Vyama vya upinzani kupitia majimbo yao wameshindwa kutengeneza mihuri ya kila tawi ambayo itatumiwa katika fomu za wagombea .

Hivyo haya na machache lakini kwa kifupi vyama vya upinzani mpaka sasa wameshindwa kwa 40% nje ya box tutegemee ndani ya box hawatoshinda kwa kiwango kikubwa.

Soma, Pia:

=> Jaji Mwambegele: Mawakala wa Vyama vya Siasa wataruhusiwa kuwepo katika Vituo vya Kuandikisha Wapiga Kura
==> John Mnyika aeleza mikakati ya CHADEMA kukabiliana na Orodha Haramu ya Wapiga Kura Wasiokuwa Halali
 
Niko na ACT? chadema. Tatizo ni kuwa does the law allow that? Watawasumbua kuwa sheria inakataza hilo/iko silent kuhusu hilo na hivyo option ni kutokuwepo hapo......wanaweza kwenda mbali na kusema

Expressio unius est exclusio alterius

 
Baada ya kuzunguka na pitapita zangu nimegundua CCM licha ya kutumia dola kushinda lakini kuna maeneo wanashinda kwa udhaifu wa vyama vya upinzani alafu mwisho wa siku wanatupa lawama kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Mambo ambayo wapinzani wameanza kufeli kama yafuatayo.

(1) Asilimia 70 vyama vya upinzani havina uhakika wa kuweka mawakala katika uandikishaji wa daftari la wapiga kura kutokana na kukosa fedha kwa viongozi wa majimbo na mikoa mfano ACT-WAZALENDO inasema mawakala wajitolee kwenda kufanya kazi kwakua chama hakina bajeti ya kulipa.

(2) Wagombea waliowengi hawataki kugombea hasa ACT-WAZALENDO, kutokana na kuwanyima fedha viongozi wa majimbo ambao wangefanya kazi ya kupita kuzunguka.

(3) Vyama vya upinzani kupitia majimbo yao wameshindwa kutengeneza mihuri ya kila tawi ambayo itatumiwa katika fomu za wagombea .

Hivyo haya na machache lakini kwa kifupi vyama vya upinzani mpaka sasa wameshindwa kwa 40% nje ya box tutegemee ndani ya box hawatoshinda kwa kiwango kikubwa.
Hela za vyama vya upinzani zinaliwa makao makuu halafu hao wa mawilayani wanaambiwa wajitolee vyama havina hela

Mumm utapeli huo
 
Hivyo vyama bado sanq maneno ni mengi kama mtoto aliyevia!
Shida vyama vimeshikiliwa na watu wachache, havijawa vyama vya umma bali mali ya mtu ndymana maamuzi yanatoka kwa mtu.
Mfano leo Mnyika anatoa lawama kwa TAMISEM kuwa hawajatoa hamasa je CHADEMA wanashindwa toa hamasa kwa wanachama wao?
 
Shida vyama vimeshikiliwa na watu wachache, havijawa vyama vya umma bali mali ya mtu ndymana maamuzi yanatoka kwa mtu.
Mfano leo Mnyika anatoa lawama kwa TAMISEM kuwa hawajatoa hamasa je CHADEMA wanashindwa toa hamasa kwa wanachama wao?
Bado hawajawa tayari lengo kuu ni ruzuku ya kila mwezi ndio mafanikio yao sio kushika dola!
 
Hivi kumbe mpaka kuandikisha wapiga kura vyama vinapaswa kuweka mawakala??
 
Shida vyama vimeshikiliwa na watu wachache, havijawa vyama vya umma bali mali ya mtu ndymana maamuzi yanatoka kwa mtu.
Mfano leo Mnyika anatoa lawama kwa TAMISEM kuwa hawajatoa hamasa je CHADEMA wanashindwa toa hamasa kwa wanachama wao?

..Kwenye uchaguzi huru na wa haki hakuna haja ya mawakala.

..Msimamizi wa uchaguzi anatakiwa atangaze matokeo sahihi bila kusimamiwa, au kushinikizwa, na mawakala wa vyama / wagombea.
 
Back
Top Bottom