Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo na CHADEMA, Wekeni Kando Ubinafsi

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo na CHADEMA, Wekeni Kando Ubinafsi

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
ACT-Wazalendo na Chadema, wekeni Kando Ubinafsi. Muungane, ACT isimamishe mgombea rais Zanzibar ambaye tunashauri CHADEMA imuunge mkono, na Bara CHADEMA isimamishe mgombea ambaye ACT wazalendo itamuunga mkono. Hii ndio njia pekee ya kumpa CCM kipigo cha karne.

Vinginevyo matokeo yatakuwa ni yale yale mwaka nenda rudi ya Kulalamika tumeporwa, tulishinda blah, blah, blah..... CCM, TLP na NCCR-Wasaliti hawana kitu, Wananchi wamechoka na hivi vyama vya kinafiki. Wekeni Maalim-Zanzibar na Lissu bara muone nguvu ya Umma.

Mwana CCM Mkongwe !
 
Hata waungane wote kwa CCM watakaa
 
Una uhakika gani kama Tindu Lissu hatawekewa pingamizi na CCM? Nina uhakika CCM atatumia kila mbinu Tindu Lissu,akose sifa za kugombea uraisi.

Lakini hata hivyo wanachama wa CCM ni kawaida yao kujiandikisha kwenye daftari ya kupiga kura pia hawasusii uchaguzi hupiga kura,tofauti na Chadema .

ACT ya Maalim Seif ya Visiwani wao hupiga kura tena block voting tofauti na Chadema. Mbowe na secretariat ya Chadema ngazi zote wawahimize wananchi kujiandikisha kupiga kura.

Vinginevyo watashindwa vibaya sana hata bila goli la mkono.
 
Una uhakika gani kama Tindu Lissu hatawekewa pingamizi na CCM?
Nina uhakika CCM atatumia kila mbinu Tindu Lissu,akose sifa za kugombea uraisi.
Lakini hata hivyo wanachama wa CCM ni kawaida yao kujiandikisha kwenye daftari ya kupiga kura pia hawasusii uchaguzi hupiga kura,tofauti na Chadema .

ACT ya Maalim Seif ya Visiwani wao hupiga kura tena block voting tofauti na Chadema .
Mbowe na secretariat ya Chadema ngazi zote wawahimize wananchi kujiandikisha kupiga kura
Vinginevyo watashindwa vibaya sana hata bila goli la mkono.
Excellent ideas. Just not sure if these selfish leaders will agree
 
ACT-Wazalendo na Chadema, weaken Kando Ubinafsi. Muungane, ACT isimamishe mgombea rais Zanzibar ambaye tunashauri CHADEMA imuunge mkono, na Bara CHADEMA isimamishe mgombea ambaye ACT wazalendo itamuunga mkono. Hii ndio njia pekee ya kumpa CCM kipigo cha karne.

Vinginevyo matokeo yatakuwa ni yale yale mwaka nenda rudi ya Kulalamika tumeporwa, tulishinda blah, blah, blah..... CCM, TLP na NCCR-Wasaliti hawana kitu, wananchi wamechoka na hivi vyama vya kinafiki. Wekeni Maalim-Zanzibar na Lisu bara muone nguvu ya Umma.

Mwana CCM Mkongwe !
upo sahihii lkn mbona unawapangia la kufanya
 
ACT-Wazalendo na Chadema, weaken Kando Ubinafsi. Muungane, ACT isimamishe mgombea rais Zanzibar ambaye tunashauri CHADEMA imuunge mkono, na Bara CHADEMA isimamishe mgombea ambaye ACT wazalendo itamuunga mkono. Hii ndio njia pekee ya kumpa CCM kipigo cha karne.

Vinginevyo matokeo yatakuwa ni yale yale mwaka nenda rudi ya Kulalamika tumeporwa, tulishinda blah, blah, blah..... CCM, TLP na NCCR-Wasaliti hawana kitu, wananchi wamechoka na hivi vyama vya kinafiki. Wekeni Maalim-Zanzibar na Lisu bara muone nguvu ya Umma.

Mwana CCM Mkongwe !
Ndugu yangu una moyo sana...panya wakila hawaachiani..eti kwa vile wote ni panya na kuwa wote wana ugomvi na paka!
 
ACT-Wazalendo na Chadema, weaken Kando Ubinafsi. Muungane, ACT isimamishe mgombea rais Zanzibar ambaye tunashauri CHADEMA imuunge mkono, na Bara CHADEMA isimamishe mgombea ambaye ACT wazalendo itamuunga mkono. Hii ndio njia pekee ya kumpa CCM kipigo cha karne.

Vinginevyo matokeo yatakuwa ni yale yale mwaka nenda rudi ya Kulalamika tumeporwa, tulishinda blah, blah, blah..... CCM, TLP na NCCR-Wasaliti hawana kitu, wananchi wamechoka na hivi vyama vya kinafiki. Wekeni Maalim-Zanzibar na Lisu bara muone nguvu ya Umma.

Mwana CCM Mkongwe !

Hizi lugha za kuungana zilikuwepo sana huko nyuma na hao cdm wakawa wanaambiwa waache ubinafsi. Leo hii CUF na NCCR wameishia wapi baada ya ule muungano? Ni kweli kuungana ni jambo jema, je kinachoendelea baada ya ule muungano wa Ukawa bado kuna cha kulazimisha muungano? Hata hivyo kuna tume huru ya uchaguzi?
 
Safari hii chadema hampati alliance ya vyama vingine mtakoma kuungana Ni Jambo moja na ku maintain muungano Ni Jambo lingine ninyi ujuaji wenu ulikuwa ku form alliance ya UKAWA lakini how to maintain it muko zero!!!

CCM political engineers wetu hawakupanick kwa ule muungano wa UKAWA panick Yao ilikuwa kwenye sustainability kuwa UKAWA Kama utakuwa sustainable CCM lazima ifungishwe virago!!!

Political Engineers wa CCM Waka engineer how to destroy that tower of Babel.Wakabuni.mbinu za kuvunja mnara wa Babeli wa UKAWA wa kuiangusha CCM na umemefanikiwa chadema mnalialia kutafuta alliance muipate wapi wajinga nyie? si mlikuwa na UKAWA Political Engineers wa CCM wameshamaliza kazi mission accomplished tower of Babel UKAWA has been destroyed we are going on mission part one that was just an introduction to election book.More to come . Opposition parties stay tuned

We are proud of our CCM political engineers.

Chadema safari hii ndio watajua utapeli wa kisiasa haulipi mumeanza kutapatapa

Act wazalendo haihitaji alliance
 
kufikiria magufuli hatatangazwa mshindi hapo novemba ni matumizi mabaya ya akili na muda!...

upinzani hawajajipanga, hawana mgombea mwenye uwezo wa kwenda sawa ulingoni na magufuli, na pia nina mashaka na agenda zao kama zitauzika kwa wananchi!...

kwa haraka haraka tu utagundua ccm wako more organised kuliko upinzani, hivyo hata excution ya kampeni itakua bora kuzidi upinzani!.

Nashauri upinzani waanze kuandaa mgombea wa 2025...... Silinde was a good option lakn naye amegeuka utopolo......heche oohh NO, Mnyika hmmm!
 
Hapa nakubaliana na wewe,mana kila ya aina mbinu chafu imetumika ili tu kutaka kubak madarakan ahsante kwa kuusema ukwel.
Safari hii chadema hampati alliance ya vyama vingine mtakoma kuungana Ni Jambo moja na ku maintain muungano Ni Jambo lingine ninyi ujuaji wenu ulikuwa ku form alliance ya UKAWA lakini how to maintain it muko zero!!!

CCM political engineers wetu hawakupanick kwa ule muungano wa UKAWA panick Yao ilikuwa kwenye sustainability kuwa UKAWA Kama utakuwa sustainable CCM lazima ifungishwe virago!!
 
Tatizo nini CHADEMA. 2015 walishirrikiana, kwenye bunge wakahitifiana. Vifuli ni Chadema tu, Ruzuku na yao tu CHAUMA awapati kitu. CUF wakachinjiwa Baharini kisa Mahalimu defy,, utaffikiri maalimu ndio chama
 
Chadema kuweni makini na Zito mtajikuta amewapora nafasi ya kambi rasmi nyie endeleeni kucheka naye mtakuja kujuta

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unawaza kuwa wanatafuta kuongoza Kambi rasmi ya upinzani? CDM wakiungana na na ACT Wazalendo wanashinda uchaguzi wote.
(Bara na Visiwani).

Hapo anayetakiwa kuwa Kambi rasmi ya upinzani atakuwa nani? Mnajiaminisha kushinda huku Hanna ushawishi?Mnapata kura za Watanzania wa kada gani?

Kwa jinsi Mlivyowavuruga kwa miaka mitano kiasi cha hakuna aliyesalimika, kuanzia kwa Wakulima, wafugaji, wavuvi, wafanyakazi(watumishi),wafanyabiashara,matajiri na wawekezaji wa ndani.Kila mmoja mmemdhuru kikatili mno.
Mnaamini wanawapenda sana hadi wawachague?

Kwa lipi hasa?
 
ACT-Wazalendo na Chadema, weaken Kando Ubinafsi. Muungane, ACT isimamishe mgombea rais Zanzibar ambaye tunashauri CHADEMA imuunge mkono, na Bara CHADEMA isimamishe mgombea ambaye ACT wazalendo itamuunga mkono. Hii ndio njia pekee ya kumpa CCM kipigo cha karne.

Vinginevyo matokeo yatakuwa ni yale yale mwaka nenda rudi ya Kulalamika tumeporwa, tulishinda blah, blah, blah..... CCM, TLP na NCCR-Wasaliti hawana kitu, wananchi wamechoka na hivi vyama vya kinafiki. Wekeni Maalim-Zanzibar na Lisu bara muone nguvu ya Umma.

Mwana CCM Mkongwe !
UKO SAHIHI KABISA
 
Safari hii chadema hampati alliance ya vyama vingine mtakoma kuungana Ni Jambo moja na ku maintain muungano Ni Jambo lingine ninyi ujuaji wenu ulikuwa ku form alliance ya UKAWA lakini how to maintain it muko zero!!!

CCM political engineers wetu hawakupanick kwa ule muungano wa UKAWA panick Yao ilikuwa kwenye sustainability kuwa UKAWA Kama utakuwa sustainable CCM lazima ifungishwe virago!!

Ccm kama chama hakina uwezo wa kuangamiza chama chochote kisiasa, kwani chama chochote cha siasa huangamiza chama kingine kwa ushawishi wa sera na hoja. Lakini tunaona wazi sasa hivi wapinzani hawashindani na ccm, bali wanafanyiwa uhayawani, ukatili na rafu za wazi na vyombo vya dola, mahakama, bunge na taasisi nyingine za kimamlaka. Ccm kama chama wamebaki kwenye propaganda mfu tu.

Madaraka ya rais yanayotumika vibaya ndio imegeuzwa kuitwa uimara wa ccm! Kwa mtu yoyote mwenye ufahamu wa kawaida kabisa, anajua sasa hivi hakuna ushindani wa kisiasa, bali kuna siasa chafu dhidi vya wapinzani. Ccm kwa sasa imebaki kutumia shuruti kukubalika, kwakuwa mwenyekiti wake ana kofia ya urais anayoweza kuitumia vibaya.

Kwa ajili ya ulevi wa madaraka, sasa hivi anajijengea kinga ya kutoshtakiwa yeye na wenzake wanaotumia madaraka vibaya. Sasa kama mwenyekiti anasaka kinga ya kutoshtakiwa kwa makosa anayoyafanya sasa, huo uimara wa ccm uko wapi?
 
Back
Top Bottom