weka picha inayoonesha kaachiwa msikitiMgombea urais was CCM ana hali Sana jumapili aliachiwa msikiti baada ya kuingia waumini wakasema hawawezi kuswali na mnafiki , Sasa kakimbili mitaani kijichanganya Mpaka aibu .View attachment 1564345
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka picha inayoonesha kaachiwa msikitiMgombea urais was CCM ana hali Sana jumapili aliachiwa msikiti baada ya kuingia waumini wakasema hawawezi kuswali na mnafiki , Sasa kakimbili mitaani kijichanganya Mpaka aibu .View attachment 1564345
Hahaha number 4 haimuhusu Deo Mwanyika nadhani au makosa yanakuwa makosa ukiwa nje ya ccm?!Vigezo vikubwa ni
1 uraia
2 umri
3 kujua kusoma nakuandika
4 kuwahi kufanya makosa
Vilivyobaki niupuuzi mtupu hata hao waicho chama wanaojifanya waondio mafundi wa kujaza form naowanakosea lakini hakuna wa kumfunga paka kengere tupaze sauti wananchi nchi hii sio yachama fulani niyetu wote naamani niyasisi wote tuilinde
ikiwa naked itasaisia nini.Mara ngapi imekuwa hivyo na wanaendelea na yao kama hawakusikia.wanaoongoza matendo hayo ni wale waliotarajiwa kuwa watetezi.MAPOLISI NA MAJAJINadhani uthibitisho utasaidia zaidi jamii kujua na wahusika kujiona mipango yao ipo naked.
Ushauri wako?ikiwa naked itasaisia nini.Mara ngapi imekuwa hivyo na wanaendelea na yao kama hawakusikia.
Basi kama ni hivyo hii tuma takuwa siyauchaguzi bali itakuwa nitume ya kudhibiti wapinzani.Hahaha number 4 haimuhusu Deo Mwanyika nadhani au makosa yanakuwa makosa ukiwa nje ya ccm?!
kama ilivyo CCM wanajaza fomu vizuri wao tu halafu wapinzani wao tu ndo wanakosea ,aisee CCM wamejaa mashetani kutoka ngazi ya juu hadi chiniYaani taarifa za aina hiyo mnazipata nyie tu.