ACT Wazalendo tuliwaonya mapema ujio wa Bernard Membe

ACT Wazalendo tuliwaonya mapema ujio wa Bernard Membe

FAHAD KING

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
301
Reaction score
375
Habari wakuu,

Nakumbuka niliwahi kutoa UZI mwezi Mei kuhusu kuonya wanachama wa ACT Wazalendo kuwa wasifanye makosa kama walivyofanya CHADEMA mwaka 2015 kwa Lowassa. Leo si mbaya kuwakumbusha kuwa wakati mnafanya uchaguzi wa kumchagua Bernard Membe kuwania kiti cha Urais mwaka huu 2020 ni kosa kubwa kama ambavyo CHADEMA walifanya kwa LOWASSA.

Nimeona barua ya MEMBE kujiondoa kuwania kiti cha Urais kwasababu anazozijua yeye mwenyewe. Huku akileta shinikizo wa wanachama wa ACT Wazalendo kuandika barua ya kutowatambua viongozi wao wakubwa akina ZITTO na MAALIM SEIF kama sio wanachama wa ACT kisa wanamuunga mkono LISSU.

Tutashuhudia Mvurugano ndani ya ACT Wazalendo. Tusubirini
 
ACT Wazalendo wanamkumbatia Lissu anayeishi ubeligiji wanamuacha Membe anayeishi Tanzania

Subiri Uchaguzi uishe akimbie Ubeligiji
 
Membe ni nyoka wa kibisa,alidai aguswe anuke wahuni wakamchoma kabisa.Na hakika hana uwezo wakumvuruga zitto
 
ACT kumpokea kachero mbobezi ilikuwa political suicide.
 
Nikisaini Kwa Kalamu Nyekundu Pale Taifa Nakwenda Kula Chakula Kitamu Na Mke Wangu
Nyekundu!!!!
 
Kwa bahati mbaya Zitto hakuwa na mgombea upande wa Muungano. Ndio maana akamchukuwa Membe. Kosa la CUF halitorudiwa. Baada ya uchaguzi, Membe na wale wagombea ubunge wawili watachinjiwa mbali alfajiri mapema.
Habari wakuu,

Nakumbuka niliwahi kutoa UZI mwezi Mei kuhusu kuonya wanachama wa ACT Wazalendo kuwa wasifanye makosa kama walivyofanya CHADEMA mwaka 2015 kwa Lowassa.Leo si mbaya kuwakumbusha kuwa wakati mnafanya uchaguzi wa kumchagua Bernard Membe kuwania kiti cha Urais mwaka huu 2020 ni kosa kubwa kama ambavyo CHADEMA walifanya kwa LOWASSA

Nimeona barua ya MEMBE kujiondoa kuwania kiti cha Urais kwasababu anazozijua yeye mwenyewe. Huku akileta shinikizo wa wanachama wa ACT Wazalendo kuandika barua ya kutowatambua viongozi wao wakubwa akina ZITTO na MAALIM SEIF kama sio wanachama wa ACT kisa wanamuunga mkono LISSU..

Tutashuhudia Mvurugano ndani ya ACT Wazalendo...Tusubirini
 
ACT wazalendo wanamkumbatia Lissu anayeishi ubeligiji wanamuacha Membe anayeishi Tanzania

Subiri Uchaguzi uishe akimbie ubeligiji
Lengo ni wapinzani kuungana na kuondoa utawala wa CCM...Sina shaka na kumuunga Lissu
Sema MEMBE alijiondoa mapema kuwania Uraisi wala sio jana,aliacha kupiga kampeni toka zamani sana
 
Habari wakuu,

Nakumbuka niliwahi kutoa UZI mwezi Mei kuhusu kuonya wanachama wa ACT Wazalendo kuwa wasifanye makosa kama walivyofanya CHADEMA mwaka 2015 kwa Lowassa.Leo si mbaya kuwakumbusha kuwa wakati mnafanya uchaguzi wa kumchagua Bernard Membe kuwania kiti cha Urais mwaka huu 2020 ni kosa kubwa kama ambavyo CHADEMA walifanya kwa LOWASSA

Nimeona barua ya MEMBE kujiondoa kuwania kiti cha Urais kwasababu anazozijua yeye mwenyewe. Huku akileta shinikizo wa wanachama wa ACT Wazalendo kuandika barua ya kutowatambua viongozi wao wakubwa akina ZITTO na MAALIM SEIF kama sio wanachama wa ACT kisa wanamuunga mkono LISSU..

Tutashuhudia Mvurugano ndani ya ACT Wazalendo...Tusubirini
 
ACT kumpokea kachero mbobezi ilikuwa political suicide.
Sana..Nikifikiri watajifunza kwa CDM...Hakuna mwana CCM anaehama chama kuleta maendeleo isipokua bado watabaki kua makada tu
Inasikitisha kuona ACT Wazalendo kuanza kuporomoka tena hili wala sitashangaa
 
Safi sana...Ngoja niupitie huu uzi
Alitilia mashaka sana toka kuacha kupiga kampeni na kuanza safari za kwenda DUBAI
 
Ccm haiondolewi na watu kutoka ubeligiji
Lengo ni wapinzani kuungana na kuondoa utawala wa CCM...Sina shaka na kumuunga Lissu
Sema MEMBE alijiondoa mapema kuwania Uraisi wala sio jana,aliacha kupiga kampeni toka zamani sana
 
Tatizo vyama vyetu vya upinzani vimejaa watu wabishi, wakurupukaji, wajuaji na wasio penda kujifunza kutokana na makosa waliyoyafanya nyuma.

Lowassa na Sumaye walikuwa ni mifano hai kabisa katika Somo la kutopokea makada wa CCM wa muda mrefu Ila kwa vile upinzani wetu bado ni pasua kichwa ndo maana bado unachezewa na Hawa viumbe wa CCM.

N.B: Membe baada ya uchaguzi atarejea kwao, wao hupenda kusema kauli fupi tu kuwa "Nimerudi nyumbani".
 
Tatizo vyama vyetu vya upinzani vimejaa watu wabishi, wakurupukaji, wajuaji na wasio penda kujifunza kutokana na makosa waliyoyafanya nyuma.

Lowassa na Sumaye walikuwa ni mifano hai kabisa katika Somo la kutopokea makada wa CCM wa muda mrefu Ila kwa vile upinzani wetu bado ni pasua kichwa ndo maana bado unachezewa na Hawa viumbe wa CCM.

N.B: Membe baada ya uchaguzi atarejea kwao, wao hupenda kusema kauli fupi tu kuwa "Nimerudi nyumbani".
Kuna shida mahala...Hakutakua na Upanzani imara kama Vyama Pinzani vikiendelea kupokea makada wa CCM..Hawa wanaharibu misingi ya vyama, wanapandikiza chuki kwa wanachama dhidi ya viongozi wao mwisho wa siku chama kinakufa na kutokomea kabisa kwenye Rada za wananchi
 
Membe ni nyoka wa kibisa,alidai aguswe anuke wahuni wakamchoma kabisa.Na hakika hana uwezo wakumvuruga zitto
Hana uwezo wa kumdhibiti Zitto lakini anavuruga wanachama wa ACT Wazalendo
Na hapa ndo mwanzo wa matatizo
 
Back
Top Bottom