ACT- Wazalendo: Tunalani uvamizi dhidi ya Wamachinga na kubomolewa vibanda vyao eneo la Mbagala Rangitatu

mnalaani vitu ambavyo hata hamuelewi,

ACT saivi mnaandamwa na pepo la ujuaji wa hovyo sana siku hizi
Kwani wamachinga wenyewe wamelalamika hao si wameipigia kura ccm
Nasemaje Acha wabomolewe
Tusafishe jiji

Ova
 
Kulaani ndo nini?
 
Kwani wamachinga wenyewe wamelalamika hao si wameipigia kura ccm
Nasemaje Acha wabomolewe
Tusafishe jiji

Ova
mrangi
binafsi naifahamu mbagala vizuri kidogo,

tena naifahamu ikiwa wazi bila wafanyabiashara pembezoni na ikiwa na hao wafanyibiashara pembezoni dhidi ya usalama wao na uharibifu wa miundombinu

so,
ACT ni completely useless na nonsense kabisa katika jambo hili
 
Haya matamko hayana maana. Watesi wetu washajua wanatawala watu wa aina gani
 
Kuwatoa hapo ilihitajika kuweka njia mbadala, sio kuiacha njia moja hiyo hiyo ya kuendea kusini(kilwa rd), ikitokea road block basi maeasiliano na kusini hayapo. Mbagala itakuja kuwa kama Kariakoo hivi punde kinachozuia ni ubudifu duni wa network za barabara maeneo yale amini usiamini.
 
kwanini kusiwe na uboreshaji wa network za barabara na kutakachofanya wasijazane kwenye hiyo main road kilwa rd iliotelekezwa kuunganisha kusini kwa single road katika karne hii ya miundombinu.

Katika Njia kuu zote ziingiazo Dar, hii imetelekezwa sana na serikali ya chama chako.
Haya tetea hoja hii !!!
 
Nani aliwaleta?
 
Hapo Rangi 3 kero sana.
Hongera ACT wazalendo,wale wazee wa vidole viwili walivyojenga ofisi na akili zao zikaisha.
 
Wamefilisiwa wengi sana ila kwa kuwa ni machinga, nyumbu hawatapiga kelele.

Ukisikia kelele za nyumbu ujue amefilisiwa kigogo mkubwa
Wewe huna akili kabisa. Ulishapita mbagala rangi tatu? Unajua risks zilizopo pale kwa hao unaowaita watu wa chini kama vile ni sifa kuitwa hivyo?
Unapowatetea wamachinga ukumbuke na watumiaji wengine wa barabara
Ziko wapi pesa za plea bargaining???
 
Kwahiyo wenye maduka wanaolipa kodi zaidi ya nne duka moja waendelee kusota huku wamachinga wanafanya biashara mbele ya maduka yao, ingekuwa busara muitake serikali iondoe mtindo wa maduka ili kila mtu afanyebiashara bila kulipa kodi.
 
Hali ya mbagala ni mbaya hasa majira ya jion hata kupita unapita Kwa shida ukijitisa unajikuta umevamia biashara ya mtu,biashara had barabarani kabisa
 
Again hili tatizo ni la Mbagala rangi tatu au Tanzania nzima ? na kuendelea kuwa na wachuuzi Tanzania nzima (vijana nguvukazi) wabangaizaji ni afya kwa taifa la kesho ? Nadhani hapa inahitajika kuondoa root cause na sio kulea matatizo ambayo future yake inatisha...



Inabidi tuanze kuwa pro active na sio kuzima zima moto (tia maji tia maji) ili kuokoteleza Kura wakati tatizo lipo palepale
 
Ndiyo maana sometimes wanasiasa wanapigwa Kwa UJINGA.
Huwezi kutetea upumbavu unaofanyika mbagala Kama Una Akili timamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…