LGE2024 ACT Wazalendo Tunduru: Kuna vijana wamepangwa kupiga kura za mapema, tunawaonya...

LGE2024 ACT Wazalendo Tunduru: Kuna vijana wamepangwa kupiga kura za mapema, tunawaonya...

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo wa Jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma, Yasin Mohamed Mawila, ametoa onyo kali dhidi ya jaribio lolote la udanganyifu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza Jumapili, Novemba 24, 2024, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Ligunga, Kata ya Ligunga, Jimbo la Tunduru Kaskazini, Mawila amewaonya vikali wale wanaopanga kutumia mbinu za kihuni ili kuvuruga uchaguzi huo.

Mawila amedai kuwa kuna mpango wa baadhi ya vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupiga kura za mapema na kupewa karatasi zaidi ya moja za kupigia kura ili kuongeza kura kwa njia ya udanganyifu. Amesisitiza kuwa ACT Wazalendo haitakubali vitendo hivyo na akaonya vikali wale watakaobainika kufanya udanganyifu huo.

"Watu wa CCM kama mko hapa, kuna vijana wakiume na wakike wamepangwa kupiga kura za mapema na kwenye upigaji wa hizo kura, watapewa karatasi zaidi ya moja kwenye kutumbukiza kwenye kiboksi cha kupigia kura. Wewe utakayetumwa kufanya jambo hilo, tukikubaini, wewe utapigwa kama wezi wengine na utapigwa moto. Hakuna mtu tutakayemchekea, tukikushika na makaratasi mengi utapigwa mpaka kufa, tumechoka chaguzi zote sisi tuwe tunalia tu, safari hii watalia wao," amesema Mawila kwa msisitizo.
 
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo wa Jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma, Yasin Mohamed Mawila, ametoa onyo kali dhidi ya jaribio lolote la udanganyifu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza Jumapili, Novemba 24, 2024, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Ligunga, Kata ya Ligunga, Jimbo la Tunduru Kaskazini, Mawila amewaonya vikali wale wanaopanga kutumia mbinu za kihuni ili kuvuruga uchaguzi huo.

Mawila amedai kuwa kuna mpango wa baadhi ya vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupiga kura za mapema na kupewa karatasi zaidi ya moja za kupigia kura ili kuongeza kura kwa njia ya udanganyifu. Amesisitiza kuwa ACT Wazalendo haitakubali vitendo hivyo na akaonya vikali wale watakaobainika kufanya udanganyifu huo.

"Watu wa CCM kama mko hapa, kuna vijana wakiume na wakike wamepangwa kupiga kura za mapema na kwenye upigaji wa hizo kura, watapewa karatasi zaidi ya moja kwenye kutumbukiza kwenye kiboksi cha kupigia kura. Wewe utakayetumwa kufanya jambo hilo, tukikubaini, wewe utapigwa kama wezi wengine na utapigwa moto. Hakuna mtu tutakayemchekea, tukikushika na makaratasi mengi utapigwa mpaka kufa, tumechoka chaguzi zote sisi tuwe tunalia tu, safari hii watalia wao," amesema Mawila kwa msisitizo.
na nyinyi si mpange kura za jioni zaid, ili ngoma iwe droo 🐒
 
Huna akili wewe. Si ccm imejipanga kuliko wapinzani sasa figisu za nn?
hicho ni Chama au nonsense gentleman?🤣

chama kinaacha kujiandaa na mipango yake mbadala ya kuelekea uchaguzi, kinakuja kulalamikia mipango ya chama kingine,

hiyo ni completely useless 🐒
 
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo wa Jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma, Yasin Mohamed Mawila, ametoa onyo kali dhidi ya jaribio lolote la udanganyifu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza Jumapili, Novemba 24, 2024, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Ligunga, Kata ya Ligunga, Jimbo la Tunduru Kaskazini, Mawila amewaonya vikali wale wanaopanga kutumia mbinu za kihuni ili kuvuruga uchaguzi huo.

Mawila amedai kuwa kuna mpango wa baadhi ya vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupiga kura za mapema na kupewa karatasi zaidi ya moja za kupigia kura ili kuongeza kura kwa njia ya udanganyifu. Amesisitiza kuwa ACT Wazalendo haitakubali vitendo hivyo na akaonya vikali wale watakaobainika kufanya udanganyifu huo.

"Watu wa CCM kama mko hapa, kuna vijana wakiume na wakike wamepangwa kupiga kura za mapema na kwenye upigaji wa hizo kura, watapewa karatasi zaidi ya moja kwenye kutumbukiza kwenye kiboksi cha kupigia kura. Wewe utakayetumwa kufanya jambo hilo, tukikubaini, wewe utapigwa kama wezi wengine na utapigwa moto. Hakuna mtu tutakayemchekea, tukikushika na makaratasi mengi utapigwa mpaka kufa, tumechoka chaguzi zote sisi tuwe tunalia tu, safari hii watalia wao," amesema Mawila kwa msisitizo.
Mwaka 2020 kura zilipigwa mapema pale kinondoni ofisi za ccm.
Ccm waliwakusanya vijana kutoka mitaani na kuwakalisha mule ndani ya ofisi za ccm kutwa nzima
hicho ni Chama au nonsense gentleman?🤣

chama kinaacha kujiandaa na mipango yake mbadala ya kuelekea uchaguzi, kinakuja kulalamikia mipango ya chama kingine,

hiyo ni completely useless 🐒
Akili yako ndogo sana wewe. Mipango ya uchaguzi ni pqmoja na kupiga kura za mapema?
 
hicho ni Chama au nonsense gentleman?🤣

chama kinaacha kujiandaa na mipango yake mbadala ya kuelekea uchaguzi, kinakuja kulalamikia mipango ya chama kingine,

hiyo ni completely useless 🐒
Police hawatokuepo ibeni Kura muone
 
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo wa Jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma, Yasin Mohamed Mawila, ametoa onyo kali dhidi ya jaribio lolote la udanganyifu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza Jumapili, Novemba 24, 2024, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Ligunga, Kata ya Ligunga, Jimbo la Tunduru Kaskazini, Mawila amewaonya vikali wale wanaopanga kutumia mbinu za kihuni ili kuvuruga uchaguzi huo.

Mawila amedai kuwa kuna mpango wa baadhi ya vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupiga kura za mapema na kupewa karatasi zaidi ya moja za kupigia kura ili kuongeza kura kwa njia ya udanganyifu. Amesisitiza kuwa ACT Wazalendo haitakubali vitendo hivyo na akaonya vikali wale watakaobainika kufanya udanganyifu huo.

"Watu wa CCM kama mko hapa, kuna vijana wakiume na wakike wamepangwa kupiga kura za mapema na kwenye upigaji wa hizo kura, watapewa karatasi zaidi ya moja kwenye kutumbukiza kwenye kiboksi cha kupigia kura. Wewe utakayetumwa kufanya jambo hilo, tukikubaini, wewe utapigwa kama wezi wengine na utapigwa moto. Hakuna mtu tutakayemchekea, tukikushika na makaratasi mengi utapigwa mpaka kufa, tumechoka chaguzi zote sisi tuwe tunalia tu, safari hii watalia wao," amesema Mawila kwa msisitizo.
Wezi wa kura katika ubora wao.
 
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo wa Jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma, Yasin Mohamed Mawila, ametoa onyo kali dhidi ya jaribio lolote la udanganyifu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza Jumapili, Novemba 24, 2024, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Ligunga, Kata ya Ligunga, Jimbo la Tunduru Kaskazini, Mawila amewaonya vikali wale wanaopanga kutumia mbinu za kihuni ili kuvuruga uchaguzi huo.
 
Back
Top Bottom