LGE2024 ACT Wazalendo: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ubatilishwe na kuitishwa upya

LGE2024 ACT Wazalendo: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ubatilishwe na kuitishwa upya

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
WhatsApp Image 2024-11-29 at 13.10.07_53edbcdb.jpg
TAARIFA KWA UMMA

UCHAGUZI UBATILISHWE NA KUITISHWA UPYA

TAARIFA YA AWALI YA KAMATI YA UONGOZI TAIFA YA CHAMA CHA ACT WAZALENDO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, VIJIJI NA VITONGOJI 2024

Kamati ya Uongozi Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo imekutana kwenye kikao chake cha dharura jana tarehe 28 Novemba, 2024. Pamoja na mambo mengine, Kamati ya Uongozi imefanya tathmini ya awali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika tarehe 27 Novemba, 2024.

Msimamo wa ACT Wazalendo ni kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 haukuwa uchaguzi dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali ulikuwa uchaguzi dhidi ya dola, hivyo ubatilishwe na kuitishwa upya.

Mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia hatua ya utungaji wa kanuni, uandikishaji wa wapigakura, uteuzi wa wagombea, upigaji wa kura na utoaji wa matokeo uliharibiwa na mamlaka ya kusimamia uchaguzi (TAMISEMI) ikisaidiwa na vyombo vyombo vya dola ikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama.

Mchaķato wa uchaguzi ulitawaliwa na matukio ya vitisho dhidi ya raia hasa wanaochuķua fomu, ukamataji na utekaji wa raia, kutishwa ķwa mawaķala wetu na ķiwango cha juu cha matumizi ya kura bandia.

Karatasi za kura kuwa kwenye mikono ya wana-CCM na haswa wagombea, kinaonyesha dhahiri kuwa hakuna tena maana (‘credibility’) ya uchaguzi hapa nchini. Vyombo vya dola vilihusika kutumbukiza kura bandia kwenye masanduku ya kura vituoni. Kwa mfano, katika Manisapaa ya Kigoma Ujijij jimbo la Kigoma Mjini, Askari mwenye hadhi ya Inspekta alikamatwa na wananchi akiwa na mamia ya kura akijaribu kuyaingiza kwenye sanduku la kura na kuleta taharuki kubwa.

Viongozi na wanachama wetu waliojaribu kukabiliana na hujuma hizi walishughulikiwa ķwa mkonno wa chuma wa dola kwa vipigo na kukamatwa. Mifano ya hili ni mingi ikiwepo wanachama wetu zaidi ya 30 katika Jimbo la Kigoma Mjini waliokamatwa na Polisi kwa ķudhibiti kura feki; Mwenyekiti wa Jimbo la Tunduru Kaskazini aliyekamatwa kwa kumzuia Msimamizi wa Kituo asimtoe nje wakala wetu, Mwenyeķiti wa Mkoa wa Songwe aliyekamatwa na kupigwa na Polisi, wagombea wetu wawili wilayani Muleba kutekwa, Mwenyeķìti wa Ngome ya Wanawake Jimbo la Mchinga aliyetekwa na vikosi vya CCM n.k

MSIMAMO WA AWALI WA CHAMA
1. ACT Wazalendo hatukubaliani na matokeo yaliyotangazwa na Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa kwani mchakato mzima wa uchaguzi umevurungwa kwa kiwango ambacho kimepora madaraka ya wananchi kuchagua viongozi wao.

2. ACT Wazalendo tunataka uchafuzi huu wote ubatilishwe na uchaguzi mpya wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji ufanyike baada ya kupata sheria mpya ya uchaguzi huo na Tume Huru ya Uchaguzi.

3. ACT Wazalendo tutafanya mawasiliano na Vyama makini vya Siasa na Asasi muhimu za Kiraia ili kuitisha kikao kwa ajili ya kupata mkabala wa pamoja katika kupata ufumbuzi wa uhuni na uchafuzi dhidi ya mifumo ya usimamizi na uendeshaji wa chaguzi na vipi kuihami demokrasia hapa nchini.

Maeneo tunayotaka yafanyiwe kazi kwa pamoja na vyama na asasi makini ni Mabadiliko ya Katiba ili kupata Katiba Mpya, Sheria za Uchaguzi na uundwaji wa Tume Huru ya Uchaguzi pamoja na Sekretarieti Huru ya Tume wakiwemo Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi na Makarani wa Uchaguzi. Yote haya yakamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

4. ACT Wazalendo tunakusanya taarifa ya matukio yote ya uchafuzi na uhuni uliofanyika na tutatayarisha taarifa kamili ya Chama kuhusu hicho kilichoitwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Aidha, Chama kinasimamia wanachama na viongozi wote waliokamatwa kuweza kutolewa na inapobidi kuwapatia wanasheria. Zaidi ya wanachama wetu 60 walikutwa na kadhia ya kukamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi wakipambana kudhibiti uhuni uliofanyika kwenye hicho kinachoitwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Taarifa Kamili ya uhuni na uchafuzi uliofanyika tutaisambaza kwa Jumuiya zote za Kimataifa, Mashirika ya Haki za Binadamu, Taasisi za Fedha Duniani na nchi washirika wa Tanzania duniani kote.

5. Katika hatua ya sasa, tunawataka wanachama wetu ķutotoa ushirikiano kwa viongozi wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji kutoka Chama cha Mapinduzì (CCM) ambao wametangazwa kuwa washindi bila uhalali hadi hapo uchaguzi huu utakapoitisha na kufanyika upya kwa kuzingatia misingi ya demokrasia ya uchaguzi huru, wa haki na unaokubalika.

HITIMISHO
Uchaguzi huu umechora picha halisi kwamba CCM bado haiamini katika utawala bora, demokrasia na haki za raia. Imedhihirisha kuwa yote yaliyofanyika tokea kuanza kwa Awamu ya Sita, tokea mikutano ya wadau, Kikosi Kazi, Mikutano ya Maridhiano na baadhi ya vyama, Mikutano ya Baraza na Vyama vya Siasa na kuasisiwa na watu kuaminishwa katika Falsafa ya 4R yalikuwa na madhumuni ya kuwasahaulisha na kuwatuliza Watanzania madhila na udhalimu mkubwa waliopitia chini ya Awamu ya Tano.

Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vìjiji na Vìtongoji umetanabahisha jambo moja la kutia hofu kubwa katika Taifa nalo ni la kukosekana kwa uongozi madhubuti wa kuipeleka nchi katika mageuzi makubwa yanayohitajika.

Imetolewa na;
Dorothy Jonas Semu
Kiongozi wa Chama
ACT Wazalendo
29 Novemba, 2024.
STATEMENT - Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 UBATILISHWE NA KUITISHWA UPYA_page-0001.jpg

STATEMENT - Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 UBATILISHWE NA KUITISHWA UPYA_page-0002.jpg

STATEMENT - Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 UBATILISHWE NA KUITISHWA UPYA_page-0003.jpg
 
Katika chama sijawahi kukielewa kinasimamia wapi ni ACT
 
Kuna mzee hapa kijiweni alikuwa anasema eti ACT waliahidiwa watakuwa ndio chama kikuu cha upinzani 🤣
 
TAARIFA KWA UMMA

UCHAGUZI UBATILISHWE NA KUITISHWA UPYA

TAARIFA YA AWALI YA KAMATI YA UONGOZI TAIFA YA CHAMA CHA ACT WAZALENDO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, VIJIJI NA VITONGOJI 2024

Kamati ya Uongozi Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo imekutana kwenye kikao chake cha dharura jana tarehe 28 Novemba, 2024. Pamoja na mambo mengine, Kamati ya Uongozi imefanya tathmini ya awali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika tarehe 27 Novemba, 2024.

Msimamo wa ACT Wazalendo ni kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 haukuwa uchaguzi dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali ulikuwa uchaguzi dhidi ya dola, hivyo ubatilishwe na kuitishwa upya.

Mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia hatua ya utungaji wa kanuni, uandikishaji wa wapigakura, uteuzi wa wagombea, upigaji wa kura na utoaji wa matokeo uliharibiwa na mamlaka ya kusimamia uchaguzi (TAMISEMI) ikisaidiwa na vyombo vyombo vya dola ikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama.

Mchaķato wa uchaguzi ulitawaliwa na matukio ya vitisho dhidi ya raia hasa wanaochuķua fomu, ukamataji na utekaji wa raia, kutishwa ķwa mawaķala wetu na ķiwango cha juu cha matumizi ya kura bandia.

Karatasi za kura kuwa kwenye mikono ya wana-CCM na haswa wagombea, kinaonyesha dhahiri kuwa hakuna tena maana (‘credibility’) ya uchaguzi hapa nchini. Vyombo vya dola vilihusika kutumbukiza kura bandia kwenye masanduku ya kura vituoni. Kwa mfano, katika Manisapaa ya Kigoma Ujijij jimbo la Kigoma Mjini, Askari mwenye hadhi ya Inspekta alikamatwa na wananchi akiwa na mamia ya kura akijaribu kuyaingiza kwenye sanduku la kura na kuleta taharuki kubwa.

Viongozi na wanachama wetu waliojaribu kukabiliana na hujuma hizi walishughulikiwa ķwa mkonno wa chuma wa dola kwa vipigo na kukamatwa. Mifano ya hili ni mingi ikiwepo wanachama wetu zaidi ya 30 katika Jimbo la Kigoma Mjini waliokamatwa na Polisi kwa ķudhibiti kura feki; Mwenyekiti wa Jimbo la Tunduru Kaskazini aliyekamatwa kwa kumzuia Msimamizi wa Kituo asimtoe nje wakala wetu, Mwenyeķiti wa Mkoa wa Songwe aliyekamatwa na kupigwa na Polisi, wagombea wetu wawili wilayani Muleba kutekwa, Mwenyeķìti wa Ngome ya Wanawake Jimbo la Mchinga aliyetekwa na vikosi vya CCM n.k

MSIMAMO WA AWALI WA CHAMA
1. ACT Wazalendo hatukubaliani na matokeo yaliyotangazwa na Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa kwani mchakato mzima wa uchaguzi umevurungwa kwa kiwango ambacho kimepora madaraka ya wananchi kuchagua viongozi wao.

2. ACT Wazalendo tunataka uchafuzi huu wote ubatilishwe na uchaguzi mpya wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji ufanyike baada ya kupata sheria mpya ya uchaguzi huo na Tume Huru ya Uchaguzi.

3. ACT Wazalendo tutafanya mawasiliano na Vyama makini vya Siasa na Asasi muhimu za Kiraia ili kuitisha kikao kwa ajili ya kupata mkabala wa pamoja katika kupata ufumbuzi wa uhuni na uchafuzi dhidi ya mifumo ya usimamizi na uendeshaji wa chaguzi na vipi kuihami demokrasia hapa nchini.

Maeneo tunayotaka yafanyiwe kazi kwa pamoja na vyama na asasi makini ni Mabadiliko ya Katiba ili kupata Katiba Mpya, Sheria za Uchaguzi na uundwaji wa Tume Huru ya Uchaguzi pamoja na Sekretarieti Huru ya Tume wakiwemo Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi na Makarani wa Uchaguzi. Yote haya yakamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

4. ACT Wazalendo tunakusanya taarifa ya matukio yote ya uchafuzi na uhuni uliofanyika na tutatayarisha taarifa kamili ya Chama kuhusu hicho kilichoitwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Aidha, Chama kinasimamia wanachama na viongozi wote waliokamatwa kuweza kutolewa na inapobidi kuwapatia wanasheria. Zaidi ya wanachama wetu 60 walikutwa na kadhia ya kukamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi wakipambana kudhibiti uhuni uliofanyika kwenye hicho kinachoitwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Taarifa Kamili ya uhuni na uchafuzi uliofanyika tutaisambaza kwa Jumuiya zote za Kimataifa, Mashirika ya Haki za Binadamu, Taasisi za Fedha Duniani na nchi washirika wa Tanzania duniani kote.

5. Katika hatua ya sasa, tunawataka wanachama wetu ķutotoa ushirikiano kwa viongozi wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji kutoka Chama cha Mapinduzì (CCM) ambao wametangazwa kuwa washindi bila uhalali hadi hapo uchaguzi huu utakapoitisha na kufanyika upya kwa kuzingatia misingi ya demokrasia ya uchaguzi huru, wa haki na unaokubalika.

HITIMISHO
Uchaguzi huu umechora picha halisi kwamba CCM bado haiamini katika utawala bora, demokrasia na haki za raia. Imedhihirisha kuwa yote yaliyofanyika tokea kuanza kwa Awamu ya Sita, tokea mikutano ya wadau, Kikosi Kazi, Mikutano ya Maridhiano na baadhi ya vyama, Mikutano ya Baraza na Vyama vya Siasa na kuasisiwa na watu kuaminishwa katika Falsafa ya 4R yalikuwa na madhumuni ya kuwasahaulisha na kuwatuliza Watanzania madhila na udhalimu mkubwa waliopitia chini ya Awamu ya Tano.

Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vìjiji na Vìtongoji umetanabahisha jambo moja la kutia hofu kubwa katika Taifa nalo ni la kukosekana kwa uongozi madhubuti wa kuipeleka nchi katika mageuzi makubwa yanayohitajika.

Imetolewa na;
Dorothy Jonas Semu
Kiongozi wa Chama
ACT Wazalendo
29 Novemba, 2024.
katika vituo vyote waalimu wametumika kutumbukiza kura feki

je ni kwa nini CCM haiji amini?
 
Usipobatilishwa ACT itachukuwa hatua gani?

Kauli za namna hii, zisizo na enforcement plan ndizo zinazoua morali ya watu.

Nilitegemea chama kije na plan ya:-
1. Kupaka vinyesi kwenye majengo ya umma yote.
2. Kumwaga sumu kwenye visima vya maji vya wanaccm wote.
3. Kuteka, kuua na kujeruhi watendaji kata na familia zao.
4. Kususia mikutanooe ya Samia na wate wake wote..
5. Kuangusha mti na kuziba barabara zote nchini.
 
Kamati ya Uongozi Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo imekutana kwenye kikao chake cha dharura jana November 28, 2024 ambapo pamoja na mambo mengine, Kamati ya Uongozi imefanya tathmini ya awali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika November 27, 2024.

Akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam leo November 29,2024, Kiongozi wa ACT, Dorothy Semu amesema msimamo wa ACT Wazalendo ni kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 haukuwa uchaguzi dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali ulikuwa uchaguzi dhidi ya dola, hivyo ubatilishwe na kuitishwa upya.

“Mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia hatua ya utungaji wa kanuni, uandikishaji wa Wapiga kura, uteuzi wa Wagombea, upigaji wa kura na utoaji wa matokeo uliharibiwa na mamlaka ya kusimamia uchaguzi (TAMISEMI) ikisaidiwa na Vyombo vya dola ikiwemo Vyombo vya ulinzi na usalama”

“Mchakato wa uchaguzi ulitawaliwa na matukio ya vitisho dhidi ya raia hasa wanaochukua fomu, ukamataji na utekaji wa raia, kutishwa kwa Mawakala wetu na kiwango cha juu cha matumizi ya kura bandia, karatasi za kura kuwa kwenye mikono ya wana-CCM na haswa wagombea, kinaonesha dhahiri kuwa hakuna tena maana (‘credibility’) ya uchaguzi hapa Nchini”
 
TAARIFA KWA UMMA

UCHAGUZI UBATILISHWE NA KUITISHWA UPYA

TAARIFA YA AWALI YA KAMATI YA UONGOZI TAIFA YA CHAMA CHA ACT WAZALENDO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, VIJIJI NA VITONGOJI 2024

Kamati ya Uongozi Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo imekutana kwenye kikao chake cha dharura jana tarehe 28 Novemba, 2024. Pamoja na mambo mengine, Kamati ya Uongozi imefanya tathmini ya awali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika tarehe 27 Novemba, 2024.

Msimamo wa ACT Wazalendo ni kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 haukuwa uchaguzi dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali ulikuwa uchaguzi dhidi ya dola, hivyo ubatilishwe na kuitishwa upya.

Mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia hatua ya utungaji wa kanuni, uandikishaji wa wapigakura, uteuzi wa wagombea, upigaji wa kura na utoaji wa matokeo uliharibiwa na mamlaka ya kusimamia uchaguzi (TAMISEMI) ikisaidiwa na vyombo vyombo vya dola ikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama.

Mchaķato wa uchaguzi ulitawaliwa na matukio ya vitisho dhidi ya raia hasa wanaochuķua fomu, ukamataji na utekaji wa raia, kutishwa ķwa mawaķala wetu na ķiwango cha juu cha matumizi ya kura bandia.

Karatasi za kura kuwa kwenye mikono ya wana-CCM na haswa wagombea, kinaonyesha dhahiri kuwa hakuna tena maana (‘credibility’) ya uchaguzi hapa nchini. Vyombo vya dola vilihusika kutumbukiza kura bandia kwenye masanduku ya kura vituoni. Kwa mfano, katika Manisapaa ya Kigoma Ujijij jimbo la Kigoma Mjini, Askari mwenye hadhi ya Inspekta alikamatwa na wananchi akiwa na mamia ya kura akijaribu kuyaingiza kwenye sanduku la kura na kuleta taharuki kubwa.

Viongozi na wanachama wetu waliojaribu kukabiliana na hujuma hizi walishughulikiwa ķwa mkonno wa chuma wa dola kwa vipigo na kukamatwa. Mifano ya hili ni mingi ikiwepo wanachama wetu zaidi ya 30 katika Jimbo la Kigoma Mjini waliokamatwa na Polisi kwa ķudhibiti kura feki; Mwenyekiti wa Jimbo la Tunduru Kaskazini aliyekamatwa kwa kumzuia Msimamizi wa Kituo asimtoe nje wakala wetu, Mwenyeķiti wa Mkoa wa Songwe aliyekamatwa na kupigwa na Polisi, wagombea wetu wawili wilayani Muleba kutekwa, Mwenyeķìti wa Ngome ya Wanawake Jimbo la Mchinga aliyetekwa na vikosi vya CCM n.k

MSIMAMO WA AWALI WA CHAMA
1. ACT Wazalendo hatukubaliani na matokeo yaliyotangazwa na Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa kwani mchakato mzima wa uchaguzi umevurungwa kwa kiwango ambacho kimepora madaraka ya wananchi kuchagua viongozi wao.

2. ACT Wazalendo tunataka uchafuzi huu wote ubatilishwe na uchaguzi mpya wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji ufanyike baada ya kupata sheria mpya ya uchaguzi huo na Tume Huru ya Uchaguzi.

3. ACT Wazalendo tutafanya mawasiliano na Vyama makini vya Siasa na Asasi muhimu za Kiraia ili kuitisha kikao kwa ajili ya kupata mkabala wa pamoja katika kupata ufumbuzi wa uhuni na uchafuzi dhidi ya mifumo ya usimamizi na uendeshaji wa chaguzi na vipi kuihami demokrasia hapa nchini.

Maeneo tunayotaka yafanyiwe kazi kwa pamoja na vyama na asasi makini ni Mabadiliko ya Katiba ili kupata Katiba Mpya, Sheria za Uchaguzi na uundwaji wa Tume Huru ya Uchaguzi pamoja na Sekretarieti Huru ya Tume wakiwemo Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi na Makarani wa Uchaguzi. Yote haya yakamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

4. ACT Wazalendo tunakusanya taarifa ya matukio yote ya uchafuzi na uhuni uliofanyika na tutatayarisha taarifa kamili ya Chama kuhusu hicho kilichoitwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Aidha, Chama kinasimamia wanachama na viongozi wote waliokamatwa kuweza kutolewa na inapobidi kuwapatia wanasheria. Zaidi ya wanachama wetu 60 walikutwa na kadhia ya kukamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi wakipambana kudhibiti uhuni uliofanyika kwenye hicho kinachoitwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Taarifa Kamili ya uhuni na uchafuzi uliofanyika tutaisambaza kwa Jumuiya zote za Kimataifa, Mashirika ya Haki za Binadamu, Taasisi za Fedha Duniani na nchi washirika wa Tanzania duniani kote.

5. Katika hatua ya sasa, tunawataka wanachama wetu ķutotoa ushirikiano kwa viongozi wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji kutoka Chama cha Mapinduzì (CCM) ambao wametangazwa kuwa washindi bila uhalali hadi hapo uchaguzi huu utakapoitisha na kufanyika upya kwa kuzingatia misingi ya demokrasia ya uchaguzi huru, wa haki na unaokubalika.

HITIMISHO
Uchaguzi huu umechora picha halisi kwamba CCM bado haiamini katika utawala bora, demokrasia na haki za raia. Imedhihirisha kuwa yote yaliyofanyika tokea kuanza kwa Awamu ya Sita, tokea mikutano ya wadau, Kikosi Kazi, Mikutano ya Maridhiano na baadhi ya vyama, Mikutano ya Baraza na Vyama vya Siasa na kuasisiwa na watu kuaminishwa katika Falsafa ya 4R yalikuwa na madhumuni ya kuwasahaulisha na kuwatuliza Watanzania madhila na udhalimu mkubwa waliopitia chini ya Awamu ya Tano.

Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vìjiji na Vìtongoji umetanabahisha jambo moja la kutia hofu kubwa katika Taifa nalo ni la kukosekana kwa uongozi madhubuti wa kuipeleka nchi katika mageuzi makubwa yanayohitajika.

Imetolewa na;
Dorothy Jonas Semu
Kiongozi wa Chama
ACT Wazalendo
29 Novemba, 2024.
Hawa wanasiasa wana akili kama za mmbwa, yaani wanataka kuwa wanatumia pesa zetu walipa kodi kila mara kwa chaguzi wakati watanzania tunayo mahitaji mengi ambayo hayajatatulika kwa serikali kutokutoa pesa. Wakitoka hapo eti wanajifanya kuwatetea watanzania, wanatutetea vipi wakati wanatamani kufuja pesa zetu za kodi?
 
TAARIFA KWA UMMA

UCHAGUZI UBATILISHWE NA KUITISHWA UPYA

TAARIFA YA AWALI YA KAMATI YA UONGOZI TAIFA YA CHAMA CHA ACT WAZALENDO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, VIJIJI NA VITONGOJI 2024

Kamati ya Uongozi Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo imekutana kwenye kikao chake cha dharura jana tarehe 28 Novemba, 2024. Pamoja na mambo mengine, Kamati ya Uongozi imefanya tathmini ya awali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika tarehe 27 Novemba, 2024.

Msimamo wa ACT Wazalendo ni kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 haukuwa uchaguzi dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali ulikuwa uchaguzi dhidi ya dola, hivyo ubatilishwe na kuitishwa upya.

Mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia hatua ya utungaji wa kanuni, uandikishaji wa wapigakura, uteuzi wa wagombea, upigaji wa kura na utoaji wa matokeo uliharibiwa na mamlaka ya kusimamia uchaguzi (TAMISEMI) ikisaidiwa na vyombo vyombo vya dola ikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama.

Mchaķato wa uchaguzi ulitawaliwa na matukio ya vitisho dhidi ya raia hasa wanaochuķua fomu, ukamataji na utekaji wa raia, kutishwa ķwa mawaķala wetu na ķiwango cha juu cha matumizi ya kura bandia.

Karatasi za kura kuwa kwenye mikono ya wana-CCM na haswa wagombea, kinaonyesha dhahiri kuwa hakuna tena maana (‘credibility’) ya uchaguzi hapa nchini. Vyombo vya dola vilihusika kutumbukiza kura bandia kwenye masanduku ya kura vituoni. Kwa mfano, katika Manisapaa ya Kigoma Ujijij jimbo la Kigoma Mjini, Askari mwenye hadhi ya Inspekta alikamatwa na wananchi akiwa na mamia ya kura akijaribu kuyaingiza kwenye sanduku la kura na kuleta taharuki kubwa.

Viongozi na wanachama wetu waliojaribu kukabiliana na hujuma hizi walishughulikiwa ķwa mkonno wa chuma wa dola kwa vipigo na kukamatwa. Mifano ya hili ni mingi ikiwepo wanachama wetu zaidi ya 30 katika Jimbo la Kigoma Mjini waliokamatwa na Polisi kwa ķudhibiti kura feki; Mwenyekiti wa Jimbo la Tunduru Kaskazini aliyekamatwa kwa kumzuia Msimamizi wa Kituo asimtoe nje wakala wetu, Mwenyeķiti wa Mkoa wa Songwe aliyekamatwa na kupigwa na Polisi, wagombea wetu wawili wilayani Muleba kutekwa, Mwenyeķìti wa Ngome ya Wanawake Jimbo la Mchinga aliyetekwa na vikosi vya CCM n.k

MSIMAMO WA AWALI WA CHAMA
1. ACT Wazalendo hatukubaliani na matokeo yaliyotangazwa na Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa kwani mchakato mzima wa uchaguzi umevurungwa kwa kiwango ambacho kimepora madaraka ya wananchi kuchagua viongozi wao.

2. ACT Wazalendo tunataka uchafuzi huu wote ubatilishwe na uchaguzi mpya wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji ufanyike baada ya kupata sheria mpya ya uchaguzi huo na Tume Huru ya Uchaguzi.

3. ACT Wazalendo tutafanya mawasiliano na Vyama makini vya Siasa na Asasi muhimu za Kiraia ili kuitisha kikao kwa ajili ya kupata mkabala wa pamoja katika kupata ufumbuzi wa uhuni na uchafuzi dhidi ya mifumo ya usimamizi na uendeshaji wa chaguzi na vipi kuihami demokrasia hapa nchini.

Maeneo tunayotaka yafanyiwe kazi kwa pamoja na vyama na asasi makini ni Mabadiliko ya Katiba ili kupata Katiba Mpya, Sheria za Uchaguzi na uundwaji wa Tume Huru ya Uchaguzi pamoja na Sekretarieti Huru ya Tume wakiwemo Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi na Makarani wa Uchaguzi. Yote haya yakamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

4. ACT Wazalendo tunakusanya taarifa ya matukio yote ya uchafuzi na uhuni uliofanyika na tutatayarisha taarifa kamili ya Chama kuhusu hicho kilichoitwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Aidha, Chama kinasimamia wanachama na viongozi wote waliokamatwa kuweza kutolewa na inapobidi kuwapatia wanasheria. Zaidi ya wanachama wetu 60 walikutwa na kadhia ya kukamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi wakipambana kudhibiti uhuni uliofanyika kwenye hicho kinachoitwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Taarifa Kamili ya uhuni na uchafuzi uliofanyika tutaisambaza kwa Jumuiya zote za Kimataifa, Mashirika ya Haki za Binadamu, Taasisi za Fedha Duniani na nchi washirika wa Tanzania duniani kote.

5. Katika hatua ya sasa, tunawataka wanachama wetu ķutotoa ushirikiano kwa viongozi wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji kutoka Chama cha Mapinduzì (CCM) ambao wametangazwa kuwa washindi bila uhalali hadi hapo uchaguzi huu utakapoitisha na kufanyika upya kwa kuzingatia misingi ya demokrasia ya uchaguzi huru, wa haki na unaokubalika.

HITIMISHO
Uchaguzi huu umechora picha halisi kwamba CCM bado haiamini katika utawala bora, demokrasia na haki za raia. Imedhihirisha kuwa yote yaliyofanyika tokea kuanza kwa Awamu ya Sita, tokea mikutano ya wadau, Kikosi Kazi, Mikutano ya Maridhiano na baadhi ya vyama, Mikutano ya Baraza na Vyama vya Siasa na kuasisiwa na watu kuaminishwa katika Falsafa ya 4R yalikuwa na madhumuni ya kuwasahaulisha na kuwatuliza Watanzania madhila na udhalimu mkubwa waliopitia chini ya Awamu ya Tano.

Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vìjiji na Vìtongoji umetanabahisha jambo moja la kutia hofu kubwa katika Taifa nalo ni la kukosekana kwa uongozi madhubuti wa kuipeleka nchi katika mageuzi makubwa yanayohitajika.

Imetolewa na;
Dorothy Jonas Semu
Kiongozi wa Chama
ACT Wazalendo
29 Novemba, 2024.
Uitishwe upya 2025 na usimamiwe na TUME HURU YA UCHAGUZI. Wasipoitishwa upya hakuna kushirikiana na watu waliopatikana kwa wizi wa kura na maandamano yasiyoisha ya kupingana ya wizi huo.
 
Back
Top Bottom