johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
ACT Wazalendo wameitisha kikao cha dharura cha Kamati kuu kujadili Kwanini Rais Dr Mwinyi kamteua Mkurugenzi yule yule wa 2020 kuendelea na Majukumu yake.
Lakini huku Tanganyika Dr Mahera yule yule wa 2020 wamemkubali.
J3 Ubarikiwe sana.
Lakini huku Tanganyika Dr Mahera yule yule wa 2020 wamemkubali.
J3 Ubarikiwe sana.