ACT Wazalendo wammiminia sifa Rais Samia, wasema ni Rais muungwana na hakuna anayetekwa kwa sasa

ACT Wazalendo wammiminia sifa Rais Samia, wasema ni Rais muungwana na hakuna anayetekwa kwa sasa

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ameendelea kupata uungwaji mkono kutoka kwa watu mbalimbali wenye akili Timamu na wanaojitambua, pamoja na vyama mbalimbali vya kisiasa bila kujalisha itikadi zao za kisiasa.

Safari hii ACT wazalendo wameona wasiwe wanafiki na hivyo kuamua watoe na kumimina pongezi na sifa zao kwa Rais wetu mpendwa, ambapo kupitia Mjumbe wa kamati kuu ya ACT wazalendo Mheshimiwa Mansour Yussufu Himid ,ambaye mbele ya wananchi amesema ya kuwa Rais Samia ni mtu Muungwana sanaa.

Ambapo kiongozi huyo wa chama amesema ya kuwa kwa sasa hakuna watu wanaotekwa, wala hakuna watu wanao vamiwa na kufirisiwa biashara zao, wala hakuna watu au wanasiasa wanaopigwa na kutupwa ndani na wala hakuna anayezuiwa kufanya mikutano ya hadhara.

Akaendelea kusema kuwa hayo yote yanafanyika kwa kuwa kuna Muungwana katika nafasi ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Nami Mwashambwa Lucas najiona fahari sana na heshima kubwa sana kumuunga mkono Mama huyu na Rais wetu mpendwa aliye na moyo wa ucha Mungu, uungwana, upendo, huruma, unyenyekevu na ukarimu kwa watanzania . Kiongozi mpenda haki na mtenda haki mwenye ulimi wa hekima, busara na staha. Ndio maana huwezi kusikia akitoa maneno yenye kuwagawa au kuwaumiza watu wake.

Ni Mfariji, mlezi na Mama wa Taifa.Ni kiongozi na mama asiye na ubaguzi kwa misingi ya aina yoyote ile, wala chuki na mtu. ndio maana anawapenda watanzania wote na kuwatendea haki watu wote .ndio sababu ya Taifa kuendelea kushamiri na kutamalaki kwa umoja, upendo na mshikamano. Mungu ambariki sana Rais wetu na kumjalia Maisha marefu yenye amani, baraka na furaha.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu.
 
Hata ukioga, mjini hauendi! Wenzako wanalamba teuzi wewe licha ya kuweka no. ya simu yako hupati kitu, utabaki kuwa toilet paper tu
Mimi sitafuti uteuzi hapa jukwaani ndugu yangu.nipo hapa kwa ajili ya kuongea UKWELI tu na kuleta habari za UKWELI tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ameendelea kupata uungwaji mkono kutoka kwa watu mbalimbali wenye akili Timamu na wanaojitambua,pamoja na vyama mbalimbali vya kisiasa bila kujalisha itikadi zao za kisiasa .

Safari hii ACT wazalendo wameona watoe na kumimina pongezi na sifa zao kwa Rais wetu mpendwa ,ambapo kupitia Mjumbe wa kamati kuu ya ACT wazalendo Mheshimiwa Mansour Yussufu Himid ambaye mbele ya wananchi amesema ya kuwa Rais Samia ni mtu Muungwana sanaa.

Ambapo kiongozi huyo wa chama amesema ya kuwa kwa sasa hakuna watu wanaotekwa wala hakuna watu wanao vamiwa na kufirisiwa biashara zao wala hakuna watu au wanasiasa wanaopigwa na kutupwa ndani wala hakuna anayezuiwa kufanya mikutano ya hadhara.

Akaendelea kusema kuwa hayo yote yanafanyika kwa kuwa kuna Muungwana katika nafasi ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Nami Mwashambwa Lucas najiona fahari sana na heshima kubwa sana kumuunga mkono Mama huyu na Rais wetu mpendwa aliye na moyo wa ucha Mungu,uungwana, upendo,huruma, unyenyekevu na ukarimu kwa watanzania. Kiongozi mpenda haki na mtenda haki mwenye ulimi wa hekima, busara na staha. Ndio maana huwezi kusikia akitoa maneno yenye kuwagawa au kuwaumiza watu wake.

Ni Mfariji,mlezi na Mama wa Taifa. kiongozi na mama asiye na ubaguzi kwa misingi ya aina yoyote ile wala chuki na mtu.ndio maana anawapenda watanzania wote na kuwatendea haki watu wote.ndio sababu ya Taifa kuendelea kushamiri kwa umoja , upendo na mshikamano. Mungu ambariki sana Rais wetu na kumjalia Maisha marefu yenye amani, baraka na furaha.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu.
Umenikumbusha usemi wa kujiteka
 
Mtaani hakuna hela.

Hela wanazo wao tu wakubwa.
Pesa haziji zenyewe kama upepo uvumao. Kazi ya serikali ni kukuwekea mazingira mazuri na wezeshi kwa wewe kuyatumia kujipatia kipato na kujikwamua kiuchumi. Unaposema huna hela kuna watu wanaagiza magari mapya kutoka Japani na Ulaya
 
Act wanashindana na vyombo vya dola ,eti vyombo vinamwamini LISU taarifa zote zinamfikia
 
Kuna uzi niliuona kuna mtu Lucas mwashamba alikuambia inabidi uweke online polls tuone kweli mama samia anapendwa au laaah.
Hivi ule uzi mama samia alipata kura 3 humu Jf Upo wapi?
Anyway ila mtaa haudanganyi mama hapendwi na sio kidogo mkuu kama unabisha jaribu kufanya sample survey hapa Jf ya kura za online akipata 10% mods wanipige BAN🤣🤣
 
Kuna uzi niliuona kuna mtu Lucas mwashamba alikuambia inabidi uweke online polls tuone kweli mama samia anapendwa au laaah.
Hivi ule uzi mama samia alipata kura 3 humu Jf Upo wapi?
Anyway ila mtaa haudanganyi mama hapendwi na sio kidogo mkuu kama unabisha jaribu kufanya sample survey hapa Jf ya kura za online akipata 10% mods wanipige BAN🤣🤣
Rais Anapendwa na kukubalika sana huku mitaani. Na kishindo chake mtakiona na kukisikia Mwakani katika matokeo ya Urais.
 
Watu wanamsifia Raisi kwa sababu hajawateka , hiyo nchi au jela tuu
ACT Wazalendo wamezungumza mambo mengi sana yenye kugusa Kila nyanja kuanzia uchumi, siasa, demokrasia,utawala bora n.k. na kuonyesha kuridhishwa na mwenendo mzuri katika kila nyanja . kunakotokana na dhamira njema ya Rais samia
 
Rais Anapendwa na kukubalika sana huku mitaani. Na kishindo chake mtakiona na kukisikia Mwakani katika matokeo ya Urais.
Ndio nikakuambia fanya kura za mtandaoni tuone anapendwa kiasi gani maana wana JF nao ni Watanzania hivyo Nina hakika kama anapendwa lazima kura zitamwagika kwake.
Na mm nimesema akpata hata 10% nipigwe Ban, nasubir pikipiki waniletee ila kura yangu nitampgia sokoine
 
Mimi sitafuti uteuzi hapa jukwaani ndugu yangu.nipo hapa kwa ajili ya kuongea UKWELI tu na kuleta habari za UKWELI tu.
kwahio waliokua wanauwawa,kutekwa,kufirisiwa na kutupwa kwenye viroba niraisi gani aliekuwa anafanya hivyo mkuu?hadi ukawaunga mkono wanaosema awamu ya mamá hakuna hayo mambo?

umejinasibu wewe nimkweli haya tambie aliekua anafanya hayo ninani?
 
ACT Wazalendo wammiminia sifa Rais Samia, wasema ni Rais muungwana na hakuna anayetekwa kwa sasa
Hao ACT ni chawa kama machawa wengine.
Utekaji upo kama kawaida, labda useme umepungua..
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ameendelea kupata uungwaji mkono kutoka kwa watu mbalimbali wenye akili Timamu na wanaojitambua, pamoja na vyama mbalimbali vya kisiasa bila kujalisha itikadi zao za kisiasa.

Safari hii ACT wazalendo wameona wasiwe wanafiki na hivyo kuamua watoe na kumimina pongezi na sifa zao kwa Rais wetu mpendwa, ambapo kupitia Mjumbe wa kamati kuu ya ACT wazalendo Mheshimiwa Mansour Yussufu Himid ,ambaye mbele ya wananchi amesema ya kuwa Rais Samia ni mtu Muungwana sanaa.

Ambapo kiongozi huyo wa chama amesema ya kuwa kwa sasa hakuna watu wanaotekwa, wala hakuna watu wanao vamiwa na kufirisiwa biashara zao, wala hakuna watu au wanasiasa wanaopigwa na kutupwa ndani na wala hakuna anayezuiwa kufanya mikutano ya hadhara.

Akaendelea kusema kuwa hayo yote yanafanyika kwa kuwa kuna Muungwana katika nafasi ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Nami Mwashambwa Lucas najiona fahari sana na heshima kubwa sana kumuunga mkono Mama huyu na Rais wetu mpendwa aliye na moyo wa ucha Mungu, uungwana, upendo, huruma, unyenyekevu na ukarimu kwa watanzania . Kiongozi mpenda haki na mtenda haki mwenye ulimi wa hekima, busara na staha. Ndio maana huwezi kusikia akitoa maneno yenye kuwagawa au kuwaumiza watu wake.

Ni Mfariji, mlezi na Mama wa Taifa.Ni kiongozi na mama asiye na ubaguzi kwa misingi ya aina yoyote ile, wala chuki na mtu. ndio maana anawapenda watanzania wote na kuwatendea haki watu wote .ndio sababu ya Taifa kuendelea kushamiri na kutamalaki kwa umoja, upendo na mshikamano. Mungu ambariki sana Rais wetu na kumjalia Maisha marefu yenye amani, baraka na furaha.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu.
Kwa hiyo mama kakomesha utekaji wa CCM tumpongeze? WEWE ni debe tupu kabisa watoto kama wewe kama sio la dawa litakua la kupandikiza kama li kegan
 
Back
Top Bottom