ACT Wazalendo wammiminia sifa Rais Samia, wasema ni Rais muungwana na hakuna anayetekwa kwa sasa

ACT Wazalendo wammiminia sifa Rais Samia, wasema ni Rais muungwana na hakuna anayetekwa kwa sasa

kwahio waliokua wanauwawa,kutekwa,kufirisiwa na kutupwa kwenye viroba niraisi gani aliekuwa anafanya hivyo mkuu?hadi ukawaunga mkono wanaosema awamu ya mamá hakuna hayo mambo?

umejinasibu wewe nimkweli haya tambie aliekua anafanya hayo ninani?
Achana na hili chizi la UWT
 
Hata ukioga, mjini hauendi! Wenzako wanalamba teuzi wewe licha ya kuweka no. ya simu yako hupati kitu, utabaki kuwa toilet paper tu
Watanzania wote wenye akili timamu wasio na husda humsifu Rais wetu
 
ACT hawajasema lolote juu ya wizi wa kura kipindi hiki Samia akiwa Rais? Kama hawajasema basi watakuwa wanafiki sana.
 
chadema wanambeza raisi eti yeye ni wakusafiri sana wakati kiuwalisia raisi wa kenya ndio anaongoza kwa safari zanje kitu ambacho sioni tatizo kama analenga kuipambania kenya
 
Back
Top Bottom