Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hili jitu limelaaniwaKwa hiyo mama kakomesha utekaji wa CCM tumpongeze? WEWE ni debe tupu kabisa watoto kama wewe kama sio la dawa litakua la kupandikiza kama li kegan
Achana na hili chizi la UWTkwahio waliokua wanauwawa,kutekwa,kufirisiwa na kutupwa kwenye viroba niraisi gani aliekuwa anafanya hivyo mkuu?hadi ukawaunga mkono wanaosema awamu ya mamá hakuna hayo mambo?
umejinasibu wewe nimkweli haya tambie aliekua anafanya hayo ninani?
najua nimemuuliza swali ambalo nigumu sanakwakeAchana na hili chizi la UWT
Halina akili timamunajua nimemuuliza swali ambalo nigumu sanakwake
chizi huyuHalina akili timamu
Watanzania wote wenye akili timamu wasio na husda humsifu Rais wetuHata ukioga, mjini hauendi! Wenzako wanalamba teuzi wewe licha ya kuweka no. ya simu yako hupati kitu, utabaki kuwa toilet paper tu
Anaishi kwa matumaini ya kuteuliwaWewe mwenyewe choka mbaya ila unajikaza tu mkuu.
Iko hivyo.
Ukweli gani wa kuyatetea majuzi kutwa kuchaMimi sitafuti uteuzi hapa jukwaani ndugu yangu.nipo hapa kwa ajili ya kuongea UKWELI tu na kuleta habari za UKWELI tu.