ACT wazalendo wNapata ruzuku kama Chadema ila ACT Wazalendo ruzuku zao wanatumia vizuri huwezi sikia kelele kama ChademaKwani Lisu anatembea kwa miguu? unajua ACT wanatoa wapi fedha? shame on you
Kuchangisha public ni njia Moja wapo ya kuchunguza ni vp mnakubalika huko nje kwa kuangalia muamio wa wananch thus kuchangisha ni strategy tu.Ukiangalia mchango wa Lisu kwa CHADEMA ni mkubwa sana kulinganisha na ule wa duni ,hata muda wa kutumikia chama pia ni tofauti maana ACT WAZALENDO ni chama cha juzi tu na sio kama CHADEMA cha zamani kidogo.
CHADEMA wanawanachama wengi zaidi na ruzuku kwa miaka kibao ikiwemo kupokea pesa kutoka kwa vyama marafiki lakini wanazungusha Bakuli.
Soma Pia: Tundu Lissu: Michango ya Wananchi kwaajili ya kununua Gari langu imefika Tsh. 104,081,139
USSR
CHADEMA
Umehitimisha vyema kabisaKuna wakati Chadema huwa nawachukulia ndio hatari zaidi kulikoni hata ccm kwenye eneo la ufisadi!
Wana ile kauli ya changu changu, chako changu!
2025 Kataa ccm okoa Taifa letu
Hapo kuna makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar, lazima pawe na ulinzi.Nawaona Fanya Fujo Uone wamelizunguka Gari
CCM ni Chama kikubwa sana 😂
Chadema kiongizi yeyote akiongea mwangalie usoni body language inaonyesha aongeacho hakitoki moyoni aongelee kuhusu Abdul na msma yake body language haidanganyiAct ukiwaangalia usoni huoni ujanja ujanja ila chadema Kuna ka ujanja ujanja flani kuanzia ngazi ya chini kabisa
Kwani nyie UWT hampati ruzuku?ACT wazalendo wNapata ruzuku kama Chadema ila ACT Wazalendo ruzuku zao wanatumia vizuri huwezi sikia kelele kama Chadema
Tunataka tuone matumizi ya ruzuku ya CCM 3 bilion kila mwezi, nyie UWT ni wajinga snChadema hata pesa za Join the chain haijulikani zimeenda wapi hata Lissu naye anasema hoja za Msigwa juu ya hizo pesa zijibiwe!
CCM ina wapumbaza ACT wanajiona ni sehemu ya serikaliNawaona Fanya Fujo Uone wamelizunguka Gari
CCM ni Chama kikubwa sana 😂
Kwamba CCM ndiyo kununua hilo gari siyoNawaona Fanya Fujo Uone wamelizunguka Gari
CCM ni Chama kikubwa sana 😂
Ukiwa mzalendo inapaswa uvishikie kidedea vyama vyote vinavyopokea ruzuku. Siyo kimoja unakikikingia kifua ila kingine ndo unakisulubuCCM ina wapumbaza ACT wanajiona ni sehemu ya serikali
CCM inapokea bei gani na imefanya nini? inaiba fedha za umma mara ngapi?Ukiwa mzalendo inapaswa uvishikie kidedea vyama vyote vinavyopokea ruzuku. Siyo kimoja unakikikingia kifua ila kingine ndo unakisulubu