Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Nawapongeza sana ACT kwa hiki walichokifanya
Wanaendelea kututhibitishia kwamba, bila misaada tunaweza
Chadema acheni kutembeza mabakuri, iko siku mkiingia Ikulu bado mtaendelea kuombaomba ilihali mnawasema sana ccm kwamba wanaombaomba sana misaada n.k
2025 kataa ccm, okoa Taifa letu
Wanaendelea kututhibitishia kwamba, bila misaada tunaweza
Chadema acheni kutembeza mabakuri, iko siku mkiingia Ikulu bado mtaendelea kuombaomba ilihali mnawasema sana ccm kwamba wanaombaomba sana misaada n.k
2025 kataa ccm, okoa Taifa letu