ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?
CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.
Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂
Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.
In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.
The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually. The Citizen
My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.
www.jamiiforums.com
CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.
Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂
Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.
In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.
The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually. The Citizen
My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.
CHADEMA kukesha majukwaani kuwasimulia wanananchi Changamoto bila kuwa na mpango kazi wa majibu ni dharau kwa Raia
CHADEMA kutwa kucha wanazunguka huko na huko na kufanya mikutano ya hadhara waliyobatiza Majina ya oparesheni okoa Bandari nk. Ila Sasa cha kushangaza kwenye hiyo mikutano Yao wanachofanya ni -Kusema ccm imeshindwa -Kutukana viongozi waliopo, wafu na Watumishi wa Umma -Kusimulia mifano ya Nchi...