ACT Wazalendo wapendekeza suluhisho la kukabiliana na uhaba wa mafuta, CHADEMA wanazunguka kulaumu

ACT Wazalendo wapendekeza suluhisho la kukabiliana na uhaba wa mafuta, CHADEMA wanazunguka kulaumu

Serikali ichukue ushauri wa ACT wazalendo
Na makampuni yote ya usafirishaji yatukie CNG

Dangote ni bilionea namba moja Afrika lakini magari yake yote ya kiwanda cha Dangote yanayosafirisha Cementi nchi nzina yanatumia gas CNG

Serikali na wasafirishaji binafsi makampuni ya usafirishaji yawe makori au mabadi au tax waanze kutumia CNG ninbei ndogo.mno kuliko.mafuta na unaenda kilomita nyingi.kuliko.kutumia mafuta
Ukiona chama Cha upinzani kinasifiwa na CCM shtuka haraka.
Chama tawala kinatawala raia wote na vyama vyote vya siasa na kama chama tawala kinawajibika sio hiari kupokea maoni toka kwa raia wake na vyama vyote vya siasa vikitoa maoni mazuri ambayo ndani ya Chama tawala hayajspatikana sababu ya wanachama kuendekeza uchawa na kinawajibika kusema asante pia kwa watoa hoja mbadala

Sababu Chama tawala kikisema asante kwa mawazo mbadala ya Chama pinzani hicho chama ndio kinajenga CV yao sio CCM

Wananchi watakiona kuwa kweli hiki chama kiko serious kina mawazo mazuri mno uchaguzi ukija waweza pata viti vingi hata kupata uraisi Sababu michango yao wananchi wanaikubali ya mawazo mbadala

AcT wazalendo iko kwenye right track kama chama cha upinzani
 
Chadema wajinga sana, Ndo maana ACT ina wanachama wengi baada ya CCM - wacha wote tuwe vichaa kama wewe
Nendeni uarabuni mkajilipue kwa ahadi za mabikira wajinga nyinyi eti Act inawanachama baada ya ccm kweli machiz yamelogwa tena.
 
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

CCM na mjomba wako wamekwenda Dubai kutuchotea mafuta wayajaze.
 
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

https://www.jamiiforums.com/threads...go-kazi-wa-majibu-ni-dharau-kwa-raia.2125053/
sh
shida
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

shida kubwa wafanya biashara hizi ni wanasiasa pia, miongoni mwao waziri husika, hizi bei ni faida kwao pia
 
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

Kwan ACT wanasemaje kuhusu mkataba wa bandari
 
mimi sijui kitu mkuu ninachojua ni kimoja tu hoja za zitto zinatokana na kikao cha makubaliano kati yeye na ccm.. Ni lazima ziwe za kuijenga ccm au kuwahadaa wananchi
Inaonyesha na wewe ni mshiriki wa hivo vikao Ahsante kwa taarifa
 
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu [emoji23][emoji23]

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

UNA AKILI NDOGO TOKA LINI CCM IKAKUBALI USHAURI WA VYAMA VYA UPINZANI?
 
Chadema hawaelewi maana ya upinzani ni nini

Upinzani ni kuwa na mawazo mbadala ya ku solve issue ile yenye changamoto

Chadema hawana mawazo mbadala wao ni kusubiri CCM ichemke wao wapinge wajinga sana

Ndio.maans hawana sera zao zinazoeleweka kwa wananchi

Chadema kukiita chama cha upinzani sio sahihi.ACT ni sahihi sababu kinakuwa na mawazo mbadala ya nini cha kufanya kupata solution ya kutatua tatizo kuliko.mawazo ya chama tawala
Kwa taarifa yako, CCM wanatekeleza kwa ghadhabu zaidi kinachosemwa na cdm, kuliko ushauri wa ACT. Iko wazi kuwa CCM haiwezi kutekeleza chochote kwa kubembeleza. Hayo maneno ya sera sijui upuuzi gani huwa hayana maana, kwani kinachotekelezwa kinatekelezwa kutokana na makusanyo, mikopo, na fedha za wafadhili.

,Hilo neno sera huwa mnalitamka kwa mazoea tu, lakini kiutekelezaji huwa ni randomly tu.
 
HAPA NDIPO UTAONA CHAMA KIPI NI CHAMA SAFI,NA KIPI NI TAKATAKA! (KINAZUNGUKA BILA MAJIBU YA KIMSINGI)
 
Back
Top Bottom