ACT-Wazalendo watangaza kushiriki kikao cha wadau wa siasa. Watoa sababu za kushiriki

ACT-Wazalendo watangaza kushiriki kikao cha wadau wa siasa. Watoa sababu za kushiriki

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
267709125_4767820469905279_2930836181395822937_n.jpg
 
Sera ya kususa haijawai letaga mafanikio tafiti za dunia zinaeonyesha hakuna aliye fanikiwa kwa kususa isipeokuwa tafiti inasema wenzake walikula, na huu utamaduni kwa sasa unafanyika katika nchi moja tu duniani inatwa Tanzania na wanaofanya hiyo tabia ni Chadema pekee.
 
Hayo maoni utayatoa kwa nani wakati Rais anahutubia, mnapiga naye picha, kisha anaondoka? Na ndiyo inakuwa mwisho wa kikao.
Ile ni public relations activities ili kuwaonyesha mabeberu kwamba Kuna maridhiano hakuna litakalofanyiwa kazi ukandamizaji unaendeleaje kama kawaida

Kazi za vyama vya siasa zipo kikatiba na sio kwa huruma ya mtu au watu fulani
 
Kwa hiyo hao ACT ni machizi wanaposema wanakwenda kushiriki kikao cha wadau wa siasa?....

Nilivyoelewa, Rais anakuja kufungua kikao na kuondoka, huku wengine mkiendelea na kikao, Rais ni mgeni rasmi....sasa CDM wanataka na Rais naye ashiriki nao hapo kwenye hicho kikao hapo wabishane, wazodoane nk...Kifupi kunaupotoshaji... hii ndio maana ya Deko alilosema Bashiru..
 
Kwa hiyo hao ACT ni machizi wanaposema wanakwenda kushiriki kikao cha wadau wa siasa?....

Nilivyoelewa, Rais anakuja kufungua kikao na kuondoka, huku wengine mkiendelea na kikao, Rais ni mgeni rasmi....sasa CDM wanataka na Rais naye ashiriki nao hapo kwenye hicho kikao hapo wabishane, wazodoane nk...Kifupi kunaupotoshaji... hii ndio maana ya Deko alilosema Bashiru..
Kazi za vyama vya siasa zimeainishwa kwenye katiba kikao Cha nin yaani haki yako ukaiombe Tena

Msajili ahakikishe vyama vya siasa vinafanya kazi kulinga na mipaka iliyoainishwa kwenye katiba
 
aliyekwambia ni kikao cha kujadiliana ni nani. Msimamo wa Chadema umekuwa ni kikao cha mjadala badala ya Rais kuja kuwahutubia

wewe nani amekwambia sio kikao cha majadiliano?.....hiyo taarifa ya ACT inatuambia kikao cha wadau wa siasa, na wameweka agenda yao hapo... kama ni kikao cha wadau maana yake kutakuwa na hoja mbalimbali zitakazowakilishwa.....ubaya uko wapi sasa...?
 
Sioni usaliti wowote Mkuu. ACT ni Chama huru na kina maamuzi yake si lazima kikubaliane na Chama chochote kufikia maamuzi yake.
 
Back
Top Bottom