ACT-Wazalendo watangaza kushiriki kikao cha wadau wa siasa. Watoa sababu za kushiriki

ACT-Wazalendo watangaza kushiriki kikao cha wadau wa siasa. Watoa sababu za kushiriki

Bila mazungumzo hakuna kitafanyika, hajasaliti bora kushiriki, utoe maoni yasitekelezwe kuliko kuacha na kuendelea kulaumu
Yatasikilizwa na nani wakati na yeye yupo kwenye maamuzi?
 
Hayo maoni utayatoa kwa nani wakati Rais anahutubia, mnapiga naye picha, kisha anaondoka? Na ndiyo inakuwa mwisho wa kikao.
Wachana na hao wasiyo na maono maushani mwao
 
Ile ni public relations activities ili kuwaonyesha mabeberu kwamba Kuna maridhiano hakuna litakalofanyiwa kazi ukandamizaji unaendeleaje kama kawaida

Kazi za vyama vya siasa zipo kikatiba na sio kwa huruma ya mtu au watu fulani
Upo makini sana mkuu
 
Kwa hiyo hao ACT ni machizi wanaposema wanakwenda kushiriki kikao cha wadau wa siasa?....

Nilivyoelewa, Rais anakuja kufungua kikao na kuondoka, huku wengine mkiendelea na kikao, Rais ni mgeni rasmi....sasa CDM wanataka na Rais naye ashiriki nao hapo kwenye hicho kikao hapo wabishane, wazodoane nk...Kifupi kunaupotoshaji... hii ndio maana ya Deko alilosema Bashiru..
Bashiru na wewe akili zenu sawa.
Leo hii Bashiru yuko kwao anavua dagaa tu
 
Zitto kwani ni mpinzani bado? hujui ujasusi uliotumika kumuondoa yule "babu" kupitia kwa huyu msaliti wa Upinzani kisha wakawa watawala wenza (wake wenza) visiwani....ahaaa Zito kabwe alishapotea duniani kitambo wa sasa anaitwa Zito Bwashehe kama ulikuwa hujui
Ubarikiwe sana mkuu kwa kuwa mkweli
 
wewe nani amekwambia sio kikao cha majadiliano?.....hiyo taarifa ya ACT inatuambia kikao cha wadau wa siasa, na wameweka agenda yao hapo... kama ni kikao cha wadau maana yake kutakuwa na hoja mbalimbali zitakazowakilishwa.....ubaya uko wapi sasa...?
Ebu nenda kanawe miguu ulale ndiyo kazi unayo iweza
 
Bila mazungumzo hakuna kitafanyika, hajasaliti bora kushiriki, utoe maoni yasitekelezwe kuliko kuacha na kuendelea kulaumu
KWAni nini hakinulikani? Sheria zipo zifuatwe,

ingekuwa ni mkutano wa mkuandaa mswada wa sheria ningekuelewa
 
Nendeni mjue kuna nini ndani ya mazungumzo, kuliko kuwapa sababu ya kujikosha.
 
wewe nani amekwambia sio kikao cha majadiliano?.....hiyo taarifa ya ACT inatuambia kikao cha wadau wa siasa, na wameweka agenda yao hapo... kama ni kikao cha wadau maana yake kutakuwa na hoja mbalimbali zitakazowakilishwa.....ubaya uko wapi sasa...?
Sasa wanaweza kumpa Zito nafasi azungumze kwa kua CHADEMA wamekosoa ratiba ya mkutano.
MaCCM ni lazima wakubali kuwa .
CCM ni Chama maiti.. nchi haijengwi na siasa za hovyo.
Itafika mahali mtajutia haya maujinga na mtakua mmesha isambaratisha nchi hii.
 
Kwa hiyo hao ACT ni machizi wanaposema wanakwenda kushiriki kikao cha wadau wa siasa?....

Nilivyoelewa, Rais anakuja kufungua kikao na kuondoka, huku wengine mkiendelea na kikao, Rais ni mgeni rasmi....sasa CDM wanataka na Rais naye ashiriki nao hapo kwenye hicho kikao hapo wabishane, wazodoane nk...Kifupi kunaupotoshaji... hii ndio maana ya Deko alilosema Bashiru..
Chadema wanamatatizo
 
Zitto anataka kupiga picha na mama muwacheni.

Anatengeneza kumbukumbu zake.
 
Unaenda kutoa maoni huku ukitambua hayatofanyiwa kazi inamaana gani?


Bora kutoa maoni kwenye jukwaa husika na yasifanyiwe kazi kuliko kulalamika pembeni, kutoa maoni ni njia moja ya kuhamasisha umma na hata dunia na hii ni njia mojawapo ya mapambano ya kutafuta haki.
 
Hayo ni mawazo yake na anaungwa mkono na wengi mfano CHADEMA ndio mtazamo wao wewe pinga kwa hoja sio misemo.
Mfano, hii siyo akili ya kawaida

IMG_20211103_093523.jpg
 
Back
Top Bottom