ACT Wazalendo Yaeleza Sababu za Umasikini Baadhi ya Mikoa

ACT Wazalendo Yaeleza Sababu za Umasikini Baadhi ya Mikoa

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
24 July 2024
ACT Wazalendo Yaeleza Sababu za Umasikini Mkoa wa Simiyu


View: https://m.youtube.com/watch?v=gfWTg6cmpUc
Katibu Mkuu ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu ameyasema haya akiwa Jimbo la Busega Mkoani Simiyu Julai 23, 2024.

Akiwa katika ziara ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa ziara hii Ndugu Ado ameweza kuibua Changamoto mbalimbali wanazopitia wananchi ikiwemo umasikini, wizi wa ardhi, na umasikini uliokithiri....

Hotuba yake pia ilikuwa inasikika live ktk Bunda FM ili wananchi wa baadhi ya mikoa ya pande ya kanda Ziwa wapate kuelewa umuhimu wa kuishiri katika uchaguzi na kufanya maamuzi sahihi ....
1722169721597.png

Source : ACT MEDIA
 
25 Julai 2024

HAKUNA MAJI MKOA WA DODOMA

Hali Mbaya Dodoma Ukosefu wa Maji, Kiongozi wa Chama ACT Wazalendo Asikitishwa

Wananchi wa Sogolo Chemba mkoani Dodoma wafikiwa na elimu ya uraia, waulizwa je wataendelea kuichagua CCM ?

View: https://m.youtube.com/watch?v=IEA6mOdByeU
Kiongozi wa ACT Wazalendo bi. Dorothy Semu afika kujionea adha waipitiayo wananchi wa Chemba, Dodoma kutaka kujua mikakati waliyoahidiwa wananchi kwa miaka mingi kama inatekelezwa na serikali ya CCM au ni ahadi hewa ambazo zitakuja kurudia kuelekea 2024 / 2025 na wananchi wafanye nini ...

1722169775901.png

Source : ACT MEDIA
 
Back
Top Bottom