Hawa ATC Wazalendo waliambiwa tangu mwanzo hiki kikao ni cha kupumbavu lakini Zitto akawa anasisitiza kuwa watashiriki. Hata hizo sababu mbili za kwanza walizotoa hazina mantiki yoyote. Sababu ya mwisho ndiyo mzizi wa kila kitu. i.e. kushiriki hicho kikao ni ujinga uliopitiliza.