Pre GE2025 ACT Wazalendo yampongeza Tundu Lissu kwa Ushindi wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

Pre GE2025 ACT Wazalendo yampongeza Tundu Lissu kwa Ushindi wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Chama cha ACT Wazalendo kimeonyesha ukomavu wa kisiasa kwa kumpongeza Tundu Lissu kufuatia ushindi wake kama Mwenyekiti wa CHADEMA, nafasi ambayo pia inamfanya kuwa Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).

Pia, Soma: Pongezi mbalimbali za viongozi kwa Ushindi wa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA

Kupitia ujumbe uliochapishwa na ACT Wazalendo kwenye ukurasa wao wa X (zamani Twitter), kiongozi wa chama hicho, Mwl. Macheyeki Philbert Jr, amepongeza Lissu kwa ushindi huo na kumkaribisha katika uongozi wa TCD, akiahidi ushirikiano wa dhati katika harakati za kuimarisha demokrasia nchini.

Screenshot 2025-01-22 111941.png
 
Ccm chini ya muwakilishi wao Lucas Mwashambwa wamepiga kimya😁😁😁
 
Hataki pongez zao za kinaffki waliku wanataka mbowe aendeleee ili tueleke walipo sasa tumewaacha kwa mbaaal sana mwendo wa🐗🐗
 
Back
Top Bottom