Activists deliver cyber bill petition to President Kikwete

Activists deliver cyber bill petition to President Kikwete

Kuna nyakati napata mashaka na uwezo wa kufikiri wa waheshimiwa wetu huko mjengoni...ni jambo lenye kutia shaka ni namna gani wanaweza kutunga muswada wa aina hii...muswada unaopingana na katiba ya nchi ambayo ndio sheria mama....labda wanatumia mihemko yao ya visasi na kukomoana....

Mkuu hawa waheshimiwa kwa kweli ukiendelea kufuatilia hizo ndioooo na sioooo utagundua uelewa wao ni wa utata sana ila angalia usiajepata depression ukiwaza hawa ndio wanaofanya maamuzi yahusuyo hii nchi
 
Mkuu hawa waheshimiwa kwa kweli ukiendelea kufuatilia hizo ndioooo na sioooo utagundua uelewa wao ni wa utata sana ila angalia usiajepata depression ukiwaza hawa ndio wanaofanya maamuzi yahusuyo hii nchi

Kweli mkuu...ngoja nitulie maana makosa tulifanya wenyewe kwa kuwaweka huko wanakofanya kinyume na tulichowaagiza....
 
Back
Top Bottom