Actor Barkhad Abdi only received $65,000 for his award

Jamaa wa the gods must be crazy alilamba dollar 300 afu ndo alikua sterling😃😃
 
Hizo mbona nyingi sana. Ulitaka apewe ngapi? Kumbuka alikuwa hajawahi kucheza movie yoyote. Kuna watu Hollywood huwa wanalipwa mpaka $ 5k. Alichotakiwa kufanya baada ya kuonekana ni kutafuta agent ili amtafutie fursa nyingine zaidi.
Mbona kacheza movie nyingi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…