C k2 kpya sana miongon mwenu wana jf lakini me napata mashaka kidogo katka hili suala la ulpaji wa ada na michango mingine katka baadh ya vyuo hapa tz interms of foreign currencies. Hli linatendeka wakat tukshuhudia sh yetu ikiporomoka thaman yake, hii itasababsha kuwe na mfumuko wa gharama za masomo ktk vyuo ivyo. Nadhan wakat umefka vyuo hivi vianze kutoza gharama zake ktk shilingi ya ktz, tumeshuhudia juz wanafunzi wa IMTU wakpnga suala hili na wik ijayo nasikia wanafunzi wa KIU wanampango wa kufanya mgomo kupnga suala hlo.