johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimekuta mjadala mahali fulani kwamba wanafunzi wa Sekondari watapaswa kulipa tsh 60,000 na wale wa Msingi tsh 22,000
Naomba wanaojua ukweli wanijuze ili jamii iepushwe na upotoshwaji unaoendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Naomba wanaojua ukweli wanijuze ili jamii iepushwe na upotoshwaji unaoendelea.
Maendeleo hayana vyama!