Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Nani alikwambia wafu hufufuka huku duniani kwa nyakati hizi ambazo sio za yesu
C gwajima huyo,, akamfufue sasa 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikwambia wafu hufufuka huku duniani kwa nyakati hizi ambazo sio za yesu
Sasa mm ni Gwajima!!?C gwajima huyo,, akamfufue sasa 😁
Kwa mfumo ambao taarifa imekuja, unaweza kuumbuka muda wowoteKweli wewe ni jembe na unajitambua haswaaaa,,,nawasubiri walee wakurupukaji wakumlaumu rais bila kithibitisho
Hiyo ni michango tu kama michango ya Harusi. Ukitaka unatoa na kama vipi hautoi Ada yenyewe imeondolewa. Hata hivyo kutoa hii michango ni lazimaNimekuta mjadala mahali fulani kwamba wanafunzi wa Sekondari watapaswa kulipa tsh 60,000 na wale wa Msingi tsh 22,000
Naomba wanaojua ukweli wanijuze ili jamii iepushwe na upotoshwaji unaoendelea.
Maendeleo hayana vyama!
unapopata utamu wakati wa kugegeda/kugegedwa ni lazma uulipie utakapozaa. Watu walipie ada watoto wao, waache mambo ya dezo. Hakuna vya bure.Nimekuta mjadala mahali fulani kwamba wanafunzi wa Sekondari watapaswa kulipa tsh 60,000 na wale wa Msingi tsh 22,000
Naomba wanaojua ukweli wanijuze ili jamii iepushwe na upotoshwaji unaoendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mfumo ambao taarifa imekuja, unaweza kuumbuka muda wowote
Nchi hii kwa kuchezewa tumefanywa midoli60 000/22 000
Hii pesa ni kila mwezi au kwa mwaka
Hii pesa ni ndogo sana au kubwa sana [emoji2][emoji2][emoji2]
Umenena bro, vitu bora ni ghali sanaKama itakuwa kweli naweza kusema hii ni habari njema kwa elimu ya watoto wetu.
Maana hii elimu bure sina uhakika kama serikali inatoa gharama zote zinazohitajika shuleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo 60000 Ni kwa o level au A levelNimekuta mjadala mahali fulani kwamba wanafunzi wa Sekondari watapaswa kulipa tsh 60,000 na wale wa Msingi tsh 22,000
Naomba wanaojua ukweli wanijuze ili jamii iepushwe na upotoshwaji unaoendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Duniani kote elimu hugharamiwa vibaya mnoKama itakuwa kweli naweza kusema hii ni habari njema kwa elimu ya watoto wetu.
Maana hii elimu bure sina uhakika kama serikali inatoa gharama zote zinazohitajika shuleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweliYetu ni kusema tutamkumbuka.....
as days goes by huyu dingi mtamkumbuka mno mnooo
Mi naona kama wanataka kutoa elimu bure wangetoa kwa wanafunzi yatima na wanaotoka katika mazingira magumu.Duniani kote elimu hugharamiwa vibaya mno
Mfano mdogo; nchi ya Denmark utasoma utakavyo bila malipo lakini ukimsliza na kupata kazi utakatwa kodi kwenye mshahara more than t0% ya mshahara.
Nimekuta mjadala mahali fulani kwamba wanafunzi wa Sekondari watapaswa kulipa tsh 60,000 na wale wa Msingi tsh 22,000
Naomba wanaojua ukweli wanijuze ili jamii iepushwe na upotoshwaji unaoendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Unatoa elimu bure wakati huongezi mishahara? Mwalimu atatoa wapi moyo wa kufundisha?Mi naona kama wanataka kutoa elimu bure wangetoa kwa wanafunzi yatima na wanaotoka katika mazingira magumu.
Hii ingekuwa na tija kuliko ilivo sasa.
Cha kushangaza hakuna chuo cha bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siku y apili nalala bila ya umeme.yaani unakatikakatika Sana. Saivi wajanja na wasio malimbukeni wameshika nchi Ila tunaisoma namba.Yetu ni kusema tutamkumbuka.....
as days goes by huyu dingi mtamkumbuka mno mnooo