Ada mpya chuo cha kiu

Ada mpya chuo cha kiu

NJALA LIKOKO

Member
Joined
May 11, 2013
Posts
6
Reaction score
1
Habari zenu wana jf? Hivi ni kweli kuwa ada ya chuo kikuu cha kampala nchini Tanzania imepungua hadi kufikia laki nne kwa semester? Je kwa mwanafunzi anayeanza degree ya ualimu anatakiwa alipe kiasi gani kwa mwaka? Msaada wana jf.
 
Habari zenu wana jf? Hivi ni kweli kuwa ada ya chuo kikuu cha kampala nchini Tanzania imepungua hadi kufikia laki nne kwa semester? Je kwa mwanafunzi anayeanza degree ya ualimu anatakiwa alipe kiasi gani kwa mwaka? Msaada wana jf.

Hivyo vyuo vya kata ndio bei zake!!
Kwanza hakijafungiwa bado na TCU? ?
 
Back
Top Bottom