mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 637
Kwanini izi fees na michango ya shule Zetu za kata haziko standard? Mnatuambia fees Tshs.20,000/= ila michango inawekwa mpaka inafika karibu laki mbili mfano, leo nimelipa fees kama ifatavyo
1.Tuition fee-Tshs.20,000
2.Umeme-Tshs. 10,000
3.Maji-Tshs.5,000
4.ukarabati-5,000
5.NECTA-50,000
6.Picha-5,000
7.ream-10,000
8.Maabara-10,000
9.taaluma-10,000
10.Mlinzi-10,000
11.Mock-15,000
12.Tahadhari-10,000
13.Remidial-15,000
Jumla Tshs.175,000/= sawa hii pesa ndogo ukilinganisha na shule za matajiri lakini tupeni basi standard na mtuambie vitu gani vyakulipa na ambavyo si vya kulipa kwa mfano kuna remidial afu kuna taaluma mi nazani hapo kingelipwa kimoja
1.Tuition fee-Tshs.20,000
2.Umeme-Tshs. 10,000
3.Maji-Tshs.5,000
4.ukarabati-5,000
5.NECTA-50,000
6.Picha-5,000
7.ream-10,000
8.Maabara-10,000
9.taaluma-10,000
10.Mlinzi-10,000
11.Mock-15,000
12.Tahadhari-10,000
13.Remidial-15,000
Jumla Tshs.175,000/= sawa hii pesa ndogo ukilinganisha na shule za matajiri lakini tupeni basi standard na mtuambie vitu gani vyakulipa na ambavyo si vya kulipa kwa mfano kuna remidial afu kuna taaluma mi nazani hapo kingelipwa kimoja