specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
Wadau,ninatatizo la kuzungumza lugha ya kiingereza vizuri kwa ufasaha na uhakika,nataka kujisalimisha British Council kabla sijaumbuka...sasa kwa anayejua ada zao na lini wanaanzaga kozi zao naomba anipe taarifa ili nijipange....."ya mlugo yasinikute mie"