Ada ya Mwanza University ni kubwa sana

Ada ya Mwanza University ni kubwa sana

Habarini wana JF, jamani kuna chuo kipya cha Mwanza university nimeona ada ni milioni 8 kwa local citizens[emoji174][emoji17]. Hivi haiwezekani serikali kuregulate ada kwa vyuo vya afya?

Maana tusio na uwezo tunakoma sana.
Mimi ada nimeona lakini nikawa interested zaidi kujua staff walionao na qualifications zao naona hawajaweka

Hilo ni kosa la kiufudi kwa credibility ya chuo watu kwenda kusoma hawaangalii ada tu na course pekee

Eneo la staff ni muhimu kufanya maamuzi ya mtu aombe kusoma au la
Waweke
 
Mimi ada nimeona lakini nikawa interested zaidi kujua staff walionao na qualifications zao naona hawajaweka

Hilo ni kosa la kiufudi kwa credibility ya chuo watu kwenda kusoma hawaangalii ada tu na course pekee

Eneo la staff ni muhimu kufanya maamuzi ya mtu aombe kusoma au la
Waweke
Staf mkuu wapo Anna Makinda ndiyo mkuu wa chuo.
 
Staf mkuu wapo Anna Makinda ndiyo mkuu wa chuo.
Unajua maana ya staff ? Ana makinda sio sehemu ya Staff yuko juu kwenye board huko na hana hata PhD wala masters degree wamempa tu kwa umaarufu tu kwenye cheo cha board huko

Weka link inayoonyesha idara zote ,Head wa departments staff wa hizo departments na qualifications zao wazi

Watu wafanye maamuzi waje kusoma au la

Mama Makinda ana nini.Kapewa tu hako kacheo ka political post tu na si sehemu ya staff
 
Tandabui kilisusiwa na kukejeliwa kuwa ni hopeless chuo. nadhani ndiyo akabadili jina. All in all, nani alimoa kibali cha kuiita Univrsity?
Hivi wale waliosoma hapo kabla hakijabadilishwa jina na vyeti vyao vina jina la zamani. Hilo jambo halileti ukakasi kwa sasa?
 
Back
Top Bottom