Gwaje
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 299
- 85
Imekuwa ni utaratibu uliozoeleka sasa Tanzania kwa shule nyingi ikiwamo pamoja na za Serikali na hata za watu binafsi pia hata Vyuo mbalimbali kuwa na tozo mbili za huduma.
Kazi au biashara kubwa ya shule au chuo ni kufundisha wanafunzi, na ili kumfundisha kijana huyu zipo gharama sina tatizo na hizo gharama. Tatizo lipo kwenye makundi ya gharama wakati wewe ndiye uliyepanga na pia ndiye mtumiaji je mantiki yake hasa huwa nini.
Shule au chuo kinasema ada yetu tsh 1000000, Michango 200000 ambapo michango hiyo hairudishwi kama haitatumika yote sasa sijui huu ni wizi au kiini macho.
Mtazamo wangu shule na vyuo vingesema ada Tsh1200000 basi badala ya kuongeza vigharama kila muhula kwa lugha ya wizi iitwayo michango ya chuo au shule.
Kazi au biashara kubwa ya shule au chuo ni kufundisha wanafunzi, na ili kumfundisha kijana huyu zipo gharama sina tatizo na hizo gharama. Tatizo lipo kwenye makundi ya gharama wakati wewe ndiye uliyepanga na pia ndiye mtumiaji je mantiki yake hasa huwa nini.
Shule au chuo kinasema ada yetu tsh 1000000, Michango 200000 ambapo michango hiyo hairudishwi kama haitatumika yote sasa sijui huu ni wizi au kiini macho.
Mtazamo wangu shule na vyuo vingesema ada Tsh1200000 basi badala ya kuongeza vigharama kila muhula kwa lugha ya wizi iitwayo michango ya chuo au shule.