Adaiwa kumuua mumewe kwa kumvuta sehemu za siri

Adaiwa kumuua mumewe kwa kumvuta sehemu za siri

Hehehe wengine wanachoka full kipupwe yaani masika mpaka masika kwa hiyo bila kulazimisha hupewi haki yako ya msingi lakini mimi naona ni bora yule anaye kuwa muwazi kuwa njaa inauma mzee hunitendei haki kama mzee ana safiri safiri sana anapunguza na kama analewa lewa ovyo ovyo anapunguza ili ampe wife haki yake nyumbani lakini wanawake wengi asipo anza mwanaume basi nae kimyaaaaaaaa anaanza kuugulia moyoni next anatoka nje ya ndoa baadae UKIMWI ndani ya nyumba.


hee hao ni wa wapi? yaani nickie kiu na maji halali yangu bado ninywe kwa kuyavizia? ni swala la kusema nina kiu nahitaji maji......
 
hee hao ni wa wapi? yaani nickie kiu na maji halali yangu bado ninywe kwa kuyavizia? ni swala la kusema nina kiu nahitaji maji......

Hahahaha Nyamayao huyo wa kijijini wewe unafikiri ni wote wenye kiu wanaubavu wa kuomba maji sio wote kwa taarifa yako.
 
hee hao ni wa wapi? yaani nickie kiu na maji halali yangu bado ninywe kwa kuyavizia? ni swala la kusema nina kiu nahitaji maji......


Chimba kisima chako mwenyewe.....hehehMrs unaifurahisha kweli
 
hee hao ni wa wapi? yaani nickie kiu na maji halali yangu bado ninywe kwa kuyavizia? ni swala la kusema nina kiu nahitaji maji......

Hehehe sasa kaka unamfundisha awe anaenjoy na houseboy baada ya mzee kuchoka?


haha hapana komredi nilikuwa namaanisha amechimba kisima chake mwenyewe kama anavotuambia mchungaji/mtumishi wa Mungu Munishi hapa:

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=JxmvsDpM9YA&feature=related[/ame]
 
Nafikiri kabla ya kumuhukumu hakimu ake nae chemba amueleze sababu halisi
jamani kuna wanaume wasenzi kupita kiasi...mwanmke unakuta anavumilia kuondoka anashindwa siku ya siku anamaliza matatizo yaliokuwa yakimkumbuka marakwa mara kwa style hiyo.....
 
Back
Top Bottom