Adakwa akifanya mapenzi na mwanafunzi maabara

Adakwa akifanya mapenzi na mwanafunzi maabara

Genius school
Singapore-Primary-1-registration-2017-feature.jpg
 
Tatizo na hivi vijanafunzi vinatamaa sana bila huyo mwanafunzi kujilainisha kwa huyo mwalimu unathani uyo mwalimu angeweza kumgusa hata shati ukichunguza utakuta uyo mwanafunzi anapenda mambo makubwa wanafunzi wa skuizi mtihani sana
 
kitulike acha uongo jamaa, yani utembee na mwanafunz wa miaka 30 ushtakiwe? Sasa utashtakiwa kwa kosa gan? Mana kesi ya msing ni kubaka... Na sheria inasema ni under 16 ndo kubaka.. Ingawa pia sheria ya mtoto wa afrika inasema mtoto ni chn ya 18 yrs.. Sheria haisemi 'mwanafunzi' inasema 'mtoto'.. Inamtaja mwanafunzi kama 'utamtia mimba' lakn lazima awe under 18..

Sasa tukirudi kwenye kesi ya mwalimu huyu ni kwamba itabd umshtak kwa kosa la kubaka mana huyo dent hajatiwa mimba... Sasa kesi ya kubaka inamhusu under 16
 

MWALIMU wa somo la Baiolojia katika shule ya sekondari ya wasichana ya St Therese mjini hapa ambaye alidakwa akifanya mapenzi na mwanafunzi katika maabara ya shule hiyo amesimamishwa kazi akisubiri hatua za kinidhamu dhidi yake.

Ofisa Elimu wa Wilaya, Christopher Sinkamba akizungumza alisema kwamba maamuzi hayo yamechukuliwa baada ya wananchi wengi kulalamika. Sinkamba alisema mwalimu anayehusika ametambuliwa kama Raphael Mwape na kwamba sasa anasubiri hatua za kinidhamu dhidi yake.

Alisema kwamba utawala wa shule ulifikisha suala hilo Polisi lakini walishindwa kumshtaki kwa tuhuma za kubaka kwa kuwa binti huyo ni zaidi ya miaka 16. Na wakati alipoulizwa swali kwanini mwanafunzi huyo wa kike ametimuliwa shule, ofisa huyo alisema kwamba hawajamfukuza lakini walilazimika kumhamisha shule kutokana na sheria za shule hiyo.

Ilielezwa kuwa tukio hilo lilifanyika saa 12 jioni ambapo Mwape alionwa na mabinti wengine wawili wa shule hiyo akifanya mapenzi na binti huyo katika maabara B ya shule hiyo. Mwanafunzi huyo alisema kwamba hiyo haikuwa mara ya kwanza kwa mwalimu huyo kumuingilia na kwamba siku hiyo alilazimika kufanya hivyo baada ya kushinikizwa na mwalimu aliyemuita wakati akirejea bwenini. Alisema pamoja na kukataa kwake alimshinikiza kwa kudai kuwa alikuwa amemgharamia sana. Mwalimu huyo ana mke.


Chanzo: Habari leo
wilaya gani hiyo ndugu
 
KESI ZA KIPUMBAVU SANA HIZI
Hivi mnadhani hao wanafunzi hawana N Y E G E ???
Ufaransa Ukifika miaka 15 unahesabiwa kama mtu mzima ila huku huku ni ujinga ujinga mtupu? kama kafanya mapenzi huyo mwanafunzi si ni hiyari yake?
Usipotoshe watu. Hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kukubali mwalimu awe na uhusiano na mwanafunzi wa secondary au primary.
 
MWALIMU wa somo la Baiolojia katika shule ya sekondari ya wasichana ya St Therese mjini hapa ambaye alidakwa akifanya mapenzi na mwanafunzi katika maabara ya shule hiyo amesimamishwa kazi akisubiri hatua za kinidhamu dhidi yake.


Mjini alipo kila msomaji wa habari hii au mji upi

Ofisa Elimu wa Wilaya, Christopher Sinkamba akizungumza alisema kwamba maamuzi hayo yamechukuliwa baada ya wananchi wengi kulalamika.


Meaning bila wananchi kulalamika basi hatua zisingechukuliwa dhidi ya mtuhumiwa, ni kama uongozi umelazimishwa kwakuwa binti ana miaka 16 na si kwamba ni mwanafunzi
 
Back
Top Bottom