trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 744
labda anajipenda mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pasonoishu!!!!!!!!!!!! Sipendi kuona watu wanajadiri mambo binafsi ya watu kwa mfano.
1. Adamu malima kavaa pete
2. Dr slaa na ndoa yake
3. Kikwete anaoa kisiri siri
4. Ezan anatembea na FaizaFox so what?
Jamani vitu kama hivi siyo vya kuvijadiri humu
Audhu Billahi Minna Shaitwani Rajyim. Hunijui sikujui. "Hasbuna 'Llahu Wanee'ma L'wakil".
wakuu naombeni kuelewa kitu kimoja,huyu Adam Malima nimemwona bungeni akijibu maswali
lakini alinishtua kwa kitendo chake cha kuvaa mipete mikubwa mikono yote miwili,
wakuu wa saikology mnaonaje hapo,je?mtu kama huyu anaweza kutufikisha tunakokwenda?
au ana maana gani kufanya vile?
Audhu Billahi Minna Shaitwani Rajyim. Hunijui sikujui. "Hasbuna 'Llahu Wanee'ma L'wakil".