Adam Mchomvu ampiga msanii Q Chief

anatafuta namba kwa wahuni ana lolote af clouds ya wanawake wAnamuogopa tu na kumpa bichwa. in case hana cash atasumbua maskini wenzie hapo redioni.
nliwahi kumuona airport alfajiri kaletwa na boda kashushiwa nje coz boda haziingii ndani. hana lolote njaa tu.
aje kwa wahuni huku af ajione alivomchumba.
 
Mbona umetoa ya moyoni kiasi hicho mkuu. Mchomvu amekufanyaje kwani?
 
Sababu?
 
Kwenye mjengo wa Clouds Mgeni anapigwa Makonde mazito na hawajachukua hatua yoyote sasa hapo Mtu si anaweza akanyongwa kabisa humo studio? 🥲
Ina maana kwa Wageni kwenda Mjengo wa Clouds sio salama kwao hakuna ulinzi dhidi yao,

Q chillah atafute Mwanasheria mzuri ili iwe fundisho kwa hiyo Media na huyo mtu mzima hovyo anayejifyetua akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…