Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Kwani amejamba mara moja?Hovyo sana alishawahi Jamba live akiwa na kina Fetty na Bdozen
Andika Vizuri, tuujue Ukweliwatu hawajui tu ila hiyo interview ilofanya apigwe hata ningekua mimi ningemkanda...aliattack familia ya Adam hasa mke wake.
Alifanyaje?Ile siku nilikua nafatilia interview yao, Savimbi alivuka mipaka hata ningekua ni mimi ningedeal nae perpendicular.
Alipita Ntinda mwaka gani?Ila Adam bana hakui tu toka shule ntinda view Uganda hadi leo [emoji23][emoji23]
Chameleon mbali huyo mchomvu mwenyewe si alishawahi kuwekwa mabanziHahaaa ,unataka aliwe tigo nini ? ,Unajua mzungu kichaa unamsikia ? , Muulize Chameleon
Acha ushamba basi, swali lako ni la kijinga ni sawa na kushangaa mbona Lema ni wa R chuga wakati kimsingi alipaswa kuwa Hai, Machame!.wapare ni wa R-chugga?
Mtu akiwa anajiona ndio anapigwa?Ndo mana nmehoji kwanini kampiga?coz chillah naye ni mtu wa kujiona ona sana sasa wahuni hawawezi kukaa na watu kama hao
Huwa wanaamini ni wajanja ila ukweli ni kuwa ni kinyume na hivyo.Vijana wa R-CHUGA hao
Mke wake kafanyajewatu hawajui tu ila hiyo interview ilofanya apigwe hata ningekua mimi ningemkanda...aliattack familia ya Adam hasa mke wake.
Najua Adam Mchomvu ni Mshari / Mgomvi kutokana na Uarusha wake, Usela Nnya wake na Bange zake, ila sitaki Kuamini kuwa hutoa Vichapo tukuka kwa Waliotajwa hapa bila ya Yeye Kuchokozwa au Kukerwa na Matendo ya Wote aliowapiga.Adamu 'Mibangi' mtangazaji wa Clouds wa kipindi cha XXL amempiga makonde mazito msanii wa siku nyingi Q Chief/Q Chilla/Savimbi mnamo tarehe 1 March 2023,alivyokwenda kutambulisha Ep yake kwenye kipindi hicho, msanii huyo aliweza kujizuia kutokuonyesha hali ya jazba na kuendelea na kilichompeleka.
Msanii Q chief amechukua hatua za kisheria dhidi ya mtangazaji huyo.
Habari zaidi msikilize mwanasheria wa msanii huyo,
View attachment 2551144View attachment 2551145
Hii si mara ya kwanza Adam kufanya shambulio la kudhulu mwili, alifanya hivyo kwa Emanuel Mbasha, Alifanya hivyo Kwa Mtangazaji mwenzie enzi yupo Clouds Dina Marios, Geah Habib,nk hapo hapo clouds na kusababisha kusimamishwa kwa muda asiende kazini.
Hii tabia inaharibu brand ya Clouds iliyowekwa kwa muda mrefu.
Joseph Kusaga huyu bwana mdogo anakuharibia sana hapo clouds fukuza kazi ulinde brand ya kampuni,kampuni kwanza mtu baadae!
Mzaha mzaha hutumbua usaha wahenga walinena,usipoziba ufa utajenga ukuta.Wacha kukumbatia wahuni fukuzia mbali.
Nimemaliza.Popoma mkuu anatyping...
Yaani hawa sijui wanaongea nini,bangi anavuta huyu ni babuu wa kitaa anampa hapo migombani akitoka hapo yuko bwaksi anaingia oficini.Bado mtoto mzuri kabisa yule,vichaa bado hujawajua mkuu
Kongole kwa Adam Mchomvu.Kongole kwa chillah
watu mna moyo kuskiliza station za hovyo [emoji1][emoji1]Kwani amejamba mara moja?
Tena kwa sauti ya kuudhi