Adam Mchomvu ana nini hasa dhidi ya Clouds kushindwa kumdhibiti?

Adam Mchomvu ana nini hasa dhidi ya Clouds kushindwa kumdhibiti?

Ngurukia

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2023
Posts
4,407
Reaction score
16,942
Limekuwa ni suala linalojirudia kila siku kwa Adam Mchovu kama sio kupiga watu basi kutukana ama kufanya mambo ya fedheha.

Kushindwa kwa uongozi wa Clouds Fm kuweza kumdhibiti na kumpa adhabu stahiki basi inamaanisha aidha anafanya upuuzi wake kwa baraka za uongozi wake ama ni mkubwa mno kuliko uongozi wake.

Kitendo cha kumpiga mgeni mualikwa katika kipindi kunaonyesha picha mbaya mno kwa Taasisi nzima ya Clouds Media Group.

Adam sio mtoto tena na kama umaarufu ilipaswa awe ameshauzoea. Kuvuta bangi kusiwe sababu ya kujitoa ufahamu. Akiona bangi zinamfanya afanye matukio ya ovyo basi kuna haja akaacha kuvuta.

Na hao wanaoshambuliwa na Adam ni wakati nao sasa waache ujinga wa kukubali kupigwa kizembe. Piga nondo moja ya kichwa akili imkae sawa.
 
You can say that again. Huyu jamaa anafidia madhaifu yake kutumia ubabe usiokuwa na tija.

Ukichunguza Adam Mchomvu halisi ni bwege fulani ambae ni dhaifu na muoga mno ndani ya nafsi yake.

Ni design ya watu wanaojihisi kuwa hawatoshi katika kila jambo kiasi cha kudhani akiwa mkorofi basi atakuwa relevant zaidi. Adam nammithilisha na members wa JF hapa ambao bila sababu maalum wanaweza wakaja na kuanzisha ugomvi na mtu. Hawa watu kiuhalisia sio wagomvi bali wanatafuta umuhimu kukwepa uhalisia wa maisha yao ya kipweke na yasiyokuwa na tija.

Ku prove kuwa Mchomvu ni dhaifu angalia watu anao wa attack, daima ni wale ambao anajua hawatoweza kujitetea. kama yeye mbabe sana kwanini hathubutu kumletea ukorofi Ney wa Mitego, anajua atadundwa. Pia ana attack watu wasiokuwa na relevance kubwa maana anajua hakutokuwa na consequences, kama yeye chizi sana mbona hamzabi makofi Diamond au Ali Kiba, anajua fika ndio itakuwa mwisho wake.

In a nutshell the dude suffers from Inferiority complex, ndani ya moyo wake na nafsi yake anajiona ni takataka na anafanya kila jitihada kujipa thamani kwa mgongo wa bangi na kufanya upuuzi kwa kisingizio cha bangi.
Deep down he is a lonely weak irrelevant little scared bitch.
ukiona mtu anakimbilia kupiga jua ana low self esteem
 
Hilo jamaa nililitoa thamani lilipojamba likiwa hewani na kupost video mikamasi inamchuruzika.

Ukichunguza sana unaweza kuta ni li punga fulani linalotafuta mabwana kinguvu.

anajua kuwachagua wa kuwapiga pumbavu zake. Wale wanyonge.

adamu+mchomvu.png
 
Limekuwa ni swala linalojirudia kila siku kwa Adam Mchovu kama sio kupiga watu basi kutukana ama kufanya mambo ya fedheha.

Kushindwa kwa uongozi wa Clouds Fm kuweza kumdhibiti na kumpa adhabu stahiki basi inamaanisha aidha anafanya upuuzi wake kwa baraka za uongozi wake ama ni mkubwa mno kuliko uongozi wake.

Kitendo cha kumpiga mgeni mualikwa katika kipindi kunaonyesha picha mbaya mno kwa Taasisi nzima ya Clouds Media Group.

Adam sio mtoto tena na kama umaarufu ilipaswa awe ameshauzoea. Kuvuta bangi kusiwe sababu ya kujitoa ufahamu. Akiona bangi zinamfanya afanye matukio ya ovyo basi kuna haja akaacha kuvuta.

Na hao wanaoshambuliwa na Adam ni wakati nao sasa waache ujinga wa kukubali kupigwa kizembe. Piga nondo moja ya kichwa akili imkae sawa.
Mwana umleavyo...
 
acheni kufananisha bange na vitu vya kijinga uyo jamaa anapepo la kupiga watu sio bange bhana
 
Kama ulichoandika kapiga mtu akiwa studioni ni kweli, basi Mchomvu ni bogus, anajiona amejitengenezea brand kwa kuvuta bangi, sijui ni brand ya aina gani hiyo, na hao Clouds watakuwa wapuuzi kama wasipomchukulia hatua huyo mjinga.
Tatizo anakula kitu hlf sio meditator. He needs meditation.
 
Back
Top Bottom