Adam Mchomvu hakui?


"Tatizo Adam Mibangi" - Emmanuel Mbasha.
 
Kabla hata hajaja clouds fm Adamu Mchomvu amevuruga sana back in 2000's pale Mbeya fm/ Bomba fm huko mbeya.... Jamaal ni mkongwe haswa. Enzi hizo anajiita Tall wa ajabu.
 
Fetty juzi amekula kitengo, boss. Ncha kali kala kitengo, boss. When it comes to Fiesta, Bdozen ana kitengo chake pia ana brand yake, so ni boss. Mumybaby ana project yake, dadahood, kimsingi ana jambo lake Kuna movement inaonekana! Kennedy the remedy personality yake inaonekana ana focus ametulia sio kihuni kama baba la baba Adam Mchomvu! Adam usela mavi mwingi, Hadi Leo anavalia suruali kwenye makalio nani ampe kitengo, Hadi Leo anaongea kihuni huni utafikiri yupo kwenye balehe! Ila kwa kuwa ni life lake, fresh asiingie tu kwenye mihadarati!
 
Tujue elimu yake kwanza maana inaweza changia kutokukuwa maan an mwenzake fetty ameshapanda cheo sasa hivi ni mtayarishaji wa maudhui hapo kwao soon anaondoka kwa kipaza
 
Kwan zama nae hasikiki,au jasir alivoondoka nae akafukuzwa?
 
Mkuu kwa hiyo ulitaka akatangaze taarifa za habari Ili uone kakua?Ukuaji wa mtu upo akilini mwake Nashangaa Kuna watu wananiambia skuizi nimekua niache bangi nawashangaa iliandikwa wapi ndumu wavute watoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…