Adam mchomvu nae amekuwa msanii siku hizi au ndio kubeba na kwa office?

si kapewa soso fresh
 
well said brother
 
jamaa pia ni lyrical genius..anatunga nyimbo hapo hapo!! Ila clouds wanakosea kumfanya kama backup ya XXL.... ila he is OG in everything
Adam bangi Ndo zinamrudisha nyuma we sikiliza akija yeye tu kwenye kipindi anaanza kupiga makele Kama amewehuka kumpa hizo 15mins pia wamempendelea alitakiwa asiwepo kabisa xxl jamaa chenga sana Yule
 
Adam, Mi napenda vituko vyake. Jamaa anaweza fanya kituko mkabaki mnacheka tu hata kama mlikuwa bored.

Jamaa ni Malt talented. Ni Mtangazaji, Mchoraji, Msanii na pia Comedian.

chipa GM

Naona B12 yupo serious sana.

...ushawahi msikiliza Dullah kwenye Planet Bongo?
..dogo analeta ufaza kama radio ya baba'ake!
 

B12 alifaa awe na Adamu. Wote wahost wote siyo Adam
...ushawahi msikiliza Dullah kwenye Planet Bongo?
..dogo analeta ufaza kama radio ya baba'ake!
Dulla famba yule, kipind anapatikan dulla kuna mzanzibar 1 angefaa ashinde yeye.

Planet bongo ilifariki na sallama
 
Adam bangi Ndo zinamrudisha nyuma we sikiliza akija yeye tu kwenye kipindi anaanza kupiga makele Kama amewehuka kumpa hizo 15mins pia wamempendelea alitakiwa asiwepo kabisa xxl jamaa chenga sana Yule
Adam ni mtangazaji mzuri sana, haboi kutokana na ucheshi wake n' alivyo creative sema nadhani hayuko serious enough kukabidhiwa kipindi cha maana kama mwendesha show, ni mtu wa masihara mengi. Sio mtu smart kama b12 ingawa kiutangazaji anamzidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
B12 alifaa awe na Adamu. Wote wahost wote siyo Adam

Dulla famba yule, kipind anapatikan dulla kuna mzanzibar 1 angefaa ashinde yeye.

Planet bongo ilifariki na sallama

Kuna mchizi mwingine yupo radio timez anaendesha The playlist, jamaa ana flow ya hatari sana, yani angekuwa anaandika mistari, angetisha kinyama.
 
Mnhh....wacha nipite...

Adam ni msanii!!?

Wacha madini yavushwe tu...lollzz!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…