Adam Mchomvu ni mzoefu wa matukio ya aibu mbele ya live event ushahidi huu hapa

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] [emoji119][emoji119][emoji119] sawa
 
ila watu kama hao wana umuhimu wao kwenye jamii, hatuwezi kuwa serious muda woote...lazima kuchomekea kdg vijimamboz!.
 
Mwanaume unatukanwa halafu unakaa kimya huu si ni umburula sasa
Adam Mnchovu na Uchebe ni aina ya wanaume wa ukweli
 
Mchomvu kama Mchomvu aliwahi kumkata makofi Dinna Mariosi mbele ya Ruge

Ifike mahala tuwe na heshima kidogo
 
Adam anapendaga sana inshu za matusi,afu nilshangaa kumaind vile wakat jamaa huwa n mtu wa masihala sana,kiloveness love hakpendag kabsa masihala ya Adam maana muda mwingne huwa anaropoka ya ukwel
 
na sijui kuna nini nyuma ya hivi vyombo vyetu vya habari watu waliooza vichwa ndio wanaopewa majukumu makubwa na mazito hadi wanatuahibisha...naanza kuamini kuwa mawingu wanaweza kuwa ni wasagaji wa sembe na wasambazaji
 

Unaijua tafsiri ya mtu asiye na akili timamu???
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kuna nyimbo yake inaitwa bwana shamba, ukiisiliza hii nyimbo utamjua ni wa aina gn
 
Mchomvu muda wote ukiwa unamsikiliza unajua kuna dakika atatoa boko.

Na washabiki wake wengi wanampenda kwa sababu ya hayo maboko anayotoaga.

It was so imamaturity of him to act that way.
 
Kuna mtu alileta uzi humu wa kumtetea akihoji kwanini hapewi uongozi.
Kiongozi gani anakosa subira na ustahimilivu wa mambo madogo kama yale!?
Ile ya Mbasha ilisound kabisa kuwa ni joke ila jamaa akatafsiri tofauti na kutoa hukumu hapohapo... ni kukosa hekima na busara,,, hatoshi kuwa kiongozi.
 
Unaongea bila nukta wala mikato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…