Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema analinda brandi, kwa hiyo anaamini kuwa wanaompa kazi huwa hawajui kama anatumia hizo mambo, hivyo alighafilika kuona kuwa Mbasha anamchongea.Wanasema baadae Adam alipokutana na Mbasha akawa analalamika kwa nini alimuita bange...Mbasha akamwambia sorry Kaka sikujua kama hutumii hiyo kitu.