Adam mchomvu: Nitamtafuta Emmanuel Mbasha hatujamalizana, amenidhalilisha mbele ya hadhara

Adam mchomvu: Nitamtafuta Emmanuel Mbasha hatujamalizana, amenidhalilisha mbele ya hadhara

Ningependa zaidi kale kajamaa "fasta fasta" kangepigwa ngwara
 
Sio kwa Mbasha ,siwezi kusimama kwa Mbasha maana tabia zake sio,mambo ya kumkumbatia mwanamme mwenzako tena kwa kugusana vifua sio ,wanaume wanakumbatiana kwa kushikana bega tu halafu kati kunakuwa na space!! Mbasha kwa tabia zake ipo siku tutakuja kusikia story tena kutoka kwa mwanae kwamba anamtafuna.
Duh kukumbatia ni tamaduni za wenzetu na pia kama umeishi nchi Asia wana aina tofauti za kukumbatia. Narudia usiamini maneno ya wanawake wakitaka jambo lao lifanikiwe.
Ile kesi ya Mbasha mpaka mahakama ilimwachia ni kwamba walikuwa wamepika kila kitu wakashindwa kuunganisha dots na ilionekana wazi mashitaka yalitengenezwa.
 
Duh kukumbatia ni tamaduni za wenzetu na pia kama umeishi nchi Asia wana aina tofauti za kukumbatia. Narudia usiamini maneno ya wanawake wakitaka jambo lao lifanikiwe.
Ile kesi ya Mbasha mpaka mahakama ilimwachia ni kwamba walikuwa wamepika kila kitu wakashindwa kuunganisha dots na ilionekana wazi mashitaka yalitengenezwa.
Sawa Mkuu.
 
Back
Top Bottom