Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,771
Kila siku na kiingereza kilekile kibovu tu. Vipi wewe? Tumechoka kusikia ''in a house,'' ''you know what it is,'' ''it is what it is'.' ptuuuuuuuuuuu.......Kama lugha haipandi kaka una ruhusa kutumia Kiswahili bwana. Wengine tunahisi kutapika tukisikia Kiingereza kichafu. Aaaaaaarrrrrrgggghhhhhh