Adam na Hawa walikuwa watanzania wenye asili ya kimasai

Adam na Hawa walikuwa watanzania wenye asili ya kimasai

Mchawi mwandamizi

Senior Member
Joined
Jan 17, 2020
Posts
117
Reaction score
335
Hakuna namna ya kuniambia kuwa Adam na hawa hawakuwa watanzania.

Picha linaanza, huko bonde la olvai (umasaini) ambapo Dr. Leakey aligundua fuvu la kichwa cha binadamu wa kale zaidi (Kama sio la Adam basi la hawa).

Na tunafundishwa mashuleni kuwa habari kuhusu fuvu hilo ni za kweli. Hivyo basi Arusha ndio Eden yenyewe na Longido itakuwa ndo ilikuwa ikiitwa shinari. Hizi historia zitatuua jamani, hasa sisi tunaopenda kutafakari mambo kabla ya kuyapokea.
 
Hakuna namna ya kuniambia kuwa Adam na hawa hawakuwa watanzania.

Picha linaanza, huko bonde la olvai (umasaini) ambapo Dr. Leakey aligundua fuvu la kichwa cha binadamu wa kale zaidi (Kama sio la Adam basi la hawa).

Na tunafundishwa mashuleni kuwa habari kuhusu fuvu hilo ni za kweli. Hivyo basi Arusha ndio Eden yenyewe na Longido itakuwa ndo ilikuwa ikiitwa shinari. Hizi historia zitatuua jamani, hasa sisi tunaopenda kutafakari mambo kabla ya kuyapokea.
Ni fuvu la binadamu wa kale, siyo binadamu wa kwanza.

Hata Zamadamu wameacha nyayo huko ngorongoro.
 
Achana na Habari za freemason kuichallege bible.Eti binadamu wa kwanza alitokea Africa.
Kama tu hata sasa population na civilization ya huko umasaini bado ukilinganisha na middle east unagundua tu sometimes tulidanywa sana hasa somo la history mashuleni.
 
Back
Top Bottom