Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
dogo ameshapoteaHizo hapo details zake na alipo kwa sasa
Shaffih anaingiajeDogo 'alifuata' ushauri wa watu kama kina shaffih wakampoteza, kama alikuwa ma lengo la kuendelea kimpira angekubali kuchezea stars, aliadanganywaga ana nafasi kukipiga the 3 lions, akagoma stars! Pia alijikita sana kwenye kupata uraia wa Uk zaidi ya soka! Ndo kumempoteza.
Huyu ni kijana wa Tanzania aliyekuwa anakipiga Klabu ya Chelsea ya watoto, lakini ghafla akaja akatemwa na klabu hiyo, baada ya hapo sijui alikwenda wapi, mnaojua alipo mtanzania huyu ambaye tuliaminishwa kuwa ana kipaji cha hali ya juu, njooni mtujuze alipo sasa