Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Huyu ni kijana wa Tanzania aliyekuwa anakipiga Klabu ya Chelsea ya watoto, lakini ghafla akaja akatemwa na klabu hiyo, baada ya hapo sijui alikwenda wapi, mnaojua alipo mtanzania huyu ambaye tuliaminishwa kuwa ana kipaji cha hali ya juu, njooni mtujuze alipo sasa