Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Hapana Angesaini Utopolo angeisha na kuwa kama akina Nchimbi, Surpong, etc.
Simon Msuva alikuwa ni Mwananchi! Leo hii anakula tu maisha huko Morocco! Bado kunaTuisila Kisinda!
Nchimbi na Waziri Junior ni wachezaji wa timu ndogo, hivyo kamwe hawawezi kung'ara kwenye timu yenye presha kubwa kama Yanga.